Msaada wa kisheria tafadhali

Msaada wa kisheria tafadhali

Mkuu hii ni strict liability na si negligence. Ukishtaki kwa njia hii preliminary objection inakuhusu na unaweza shindwa kesi. Soma vizuri strict liability na negligence. Japokuwa unaweza tafsiri kama kuna uwiano lakini strict liability inahusu zaidi jambo lolote ulilosimika, panda, au kuweka chini ya ardhi ikasabisha hasara kwa mtu mwingine.

Inapaswa kuwapa darasa kwa watu wa sio na ujuzi wa sheria kuliko kila mwanasheria kuweka sheria tofauti tofauti zinawachanganya watu wanaomba ushaur
Mimi sio mwanasheria boss. Ila ni mjuvi wa masuala mengi hata ukifuatilia mada zangu hutagundua professional yangu maana huwa najibu yoyote ilimradi na kaulewa kadogo kutoka na company zangu na kusoma soma vitabu.
 
Mimi sio mwanasheria boss. Ila ni mjuvi wa masuala mengi hata ukifuatilia mada zangu hutagundua professional yangu maana huwa najibu yoyote ilimradi na kaulewa kadogo kutoka na company zangu na kusoma soma vitabu.
Basi unajitahidi lakini mimi ni wakili mkuu
 
Habari wakuu,
Hivi ikitokea mti uliopo kwenye eneo lako(kwa maana ya ardhi) ukaangukia upande wa jirani mnae pakana nae na ukaleta madhara yawe makubwa kama kuua au madogo mfano kulalia bati likapinda au kuvunja sehem ya choo nk bila mti huo kusababishwa na mtu km kukatwa,ni kwamba umeanguka wenyewe tu au sehemu ya tawi limekatika labda kwa upepo,je mimi mmiliki wa mti huo(eneo) nitakua na kosa kisheria?,
Tusaidiane uelewa.
Ahsante.
Hapana hautakua na kosa, kama utakua umeangushwa na upepo

Kuna defence (utetezi kisheria) unaweza kuutumia, unaitwa ACT OF GOD (Yaani matendo ya mungu). Huu utetezi hua unatumika pindi jambo linapotokea ambalo halipo katika uwezo wa mwanaadamu (either kuliona au kulizuia) na kuleta athari fulani.

Mfano gari yako imechukuliwa na mafuriko, wakati wewe upo ndani ya gari unaendesha, na kwenda kugonga nyumba ya mtu, na kuzua hasara. Huwezi kushitakiwa kwa kosa la kuharibu mali ya mtu kwasababu jambo lililotokea ni nje ya uwezo wako (huwezi kuzuia mafuriko).

Mfano wa utetezi wa Act Of God,

1) Mvua kubwa au mafuriko.
2) Upepo Mkali.
3) Radi.
4) Tetemeko la ardhi.
5) Mlipuko wa moto pori.
6) Mmomonyoko wa Mlima. N.k

NB Sheria inakulazimu kua mwangalifu na kutoku sababisha madhara kizembe kwa mwenzako, na kuwa makini kwa vitu unavyomiliki vinavyo weza kuleta madhara kwa mwingine. (Ukifuga mbwa mkali, ni wajibu wako kuhakikisha unaweka onyo nje ya uzio wako, na kumdhibiti asije kumdhuru mtu yoyote. Pindi atakapo toroka usiku bila wewe kujua, basi utakutwa na hatia ya uzembe STRICT LIABILITY)


I stand to be corrected,
 
Kuhusu wajibu wa mnunuzi ni kuwa kuna msemo unasema "customers beware" au kwa lugha ya kisheria katika mikataba basi kuna kitu kinaitwa "as is bases" yaani tafsiri yake ni kuwa ukinunua kitu chochote huwa una wajibu wa kufanya research, kupata ushauri na kisha kujua athari ya hicho kitu ili ukinunua basi UMENUNUA NA MAPUNGUFU YAKE. Iwapo umenunua gari kwa mfano then after two weeks likaharibika, km ni used utamrudishia? Hyo ndo tafsiri ya "As is bases" na wewe mnunuzi pia umo kwenye kundi Hilo.
"Caveat emptor" principle.
 
Habari wakuu,
Hivi ikitokea mti uliopo kwenye eneo lako(kwa maana ya ardhi) ukaangukia upande wa jirani mnae pakana nae na ukaleta madhara yawe makubwa kama kuua au madogo mfano kulalia bati likapinda au kuvunja sehem ya choo nk bila mti huo kusababishwa na mtu km kukatwa,ni kwamba umeanguka wenyewe tu au sehemu ya tawi limekatika labda kwa upepo,je mimi mmiliki wa mti huo(eneo) nitakua na kosa kisheria?,
Tusaidiane uelewa.
Ahsante.
Ndiyo utawajibika kisheria (You are liable for civil act) why:-

1. Trespass to another's land (Uvamizi)
Mti huo kuinanamia na kuaguka ndani ya Ardhi ya jiran yako ni kuvamia Ardhi ya jiran huyo.

2. Res ipsa loquitur. (Things speaks for itself)
The principle that the mere occurrence of some types of accident is sufficient to imply negligence.

Yaani, ulitakiwa kuchukua tahadhari kwa kuwa makini (proactive) kuzuia uharibifu huo kabla haujatokea.
 
Back
Top Bottom