Msaada wa kisheria tafadhali

Msaada wa kisheria tafadhali

kissa anyigulile

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2017
Posts
1,550
Reaction score
1,742
Nilikuwa na rafiki yangu, alikuwa ameajiriwa katika shirika moja zuri tu, katika position nzuri tu.

Siku moja alimfumania mke wake na jamaa fulani chumbani kwake wamekaa kitandani wakiangalia ponografia.

Paap! Mke akachoropoka, wakabaki wawili chumbani, mfumania na mfumaniwa.

Ngumi zikaanza, tap tap, tap tap!

Mfumaniwa akapigwa moja makini sana, akadondoka chini tuup! Ili kumaliza kazi, mfumania akaongezea na tofali la kichwa paap!

Mfumaniwa akapoteza maisha palepale!

Kesi ikaenda Polisi, mahakamani. Mfumania alikaa ndani kama miaka minne hivi!

Jamhuri ilitafakari ikaona kwa kweli mfumania hakutendewa haki kabisa, hivyo ikamwachia huru!

Sasa uchungu wangu ni kwamba Jamaa alivyorudi kazini akawa amepoteza kazi!

Swali langu: Kama Jamhuri ilimuonea huruma na kuona kwamba jamaa hakutendewa haki, kwa nini isiwe hivyo na kwa mwajiri pia?
 
Mkuu unamaanisha mahakama umemkuta Hana hatia au amefutiwa Kama kesi ya akina mbowe ilivyokuwa HEbu fafanua kidgo
Hiyo madhani haikuwa premaditated yani kafumania na kutekeleza tukio hapo hapo laiti angeenda akarudi na silaha hapo basi bila shaka angepatikana na hatia ya kupanga mauaji.
 
Nilikuwa na rafiki yangu, alikuwa ameajiriwa katika shirika moja zuri tu, katika position nzuri tu.
Siku moja alimfumania mke wake na jamaa fulani chumbani kwake wamekaa kitandani wakiangalia ponografia.
Paap! Mke akachoropoka, wakabaki wawili chumbani, mfumania na mfumaniwa.
Ngumi zikaanza, tap tap, tap tap!
Mfumaniwa akapigwa moja makini sana, akadondoka chini tuup! Ili kumaliza kazi, mfumania akaongezea na tofali la kichwa paap!
Mfumaniwa akapoteza maisha palepale!
Kesi ikaenda Polisi, mahakamani. Mfumania alikaa ndani kama miaka minne hivi!
Jamhuri ilitafakari ikaona kwa kweli mfumania hakutendewa haki kabisa, hivyo ikamwachia huru!

Sasa uchungu wangu ni kwamba Jamaa alivyorudi kazini akawa amepoteza kazi!
Swali langu: kama Jamhuri ilimuonea huruma na kuona kwamba jamaa hakutendewa haki, kwa nini isiwe hivyo na kwa mwajiri pia?
Mahakama imemkuta Hana hatia au jamhuri ndyo wameamua kumuachiria Hawa interest na case hebu fafanua kidgo!
 
Kazini keshapoteza ile heshima hata wakrudisha bado watamtenga
 
Nilikuwa na rafiki yangu, alikuwa ameajiriwa katika shirika moja zuri tu, katika position nzuri tu.
Siku moja alimfumania mke wake na jamaa fulani chumbani kwake wamekaa kitandani wakiangalia ponografia.
Paap! Mke akachoropoka, wakabaki wawili chumbani, mfumania na mfumaniwa.
Ngumi zikaanza, tap tap, tap tap!
Mfumaniwa akapigwa moja makini sana, akadondoka chini tuup! Ili kumaliza kazi, mfumania akaongezea na tofali la kichwa paap!
Mfumaniwa akapoteza maisha palepale!
Kesi ikaenda Polisi, mahakamani. Mfumania alikaa ndani kama miaka minne hivi!
Jamhuri ilitafakari ikaona kwa kweli mfumania hakutendewa haki kabisa, hivyo ikamwachia huru!

Sasa uchungu wangu ni kwamba Jamaa alivyorudi kazini akawa amepoteza kazi!
Swali langu: kama Jamhuri ilimuonea huruma na kuona kwamba jamaa hakutendewa haki, kwa nini isiwe hivyo na kwa mwajiri pia?

Pole kwake,
Inaweza kuwa hivyo kama wakati anafanya ufatiliaji na shughuli nzima za kesi alitoa notisi kwa nini hafiki kazini, labda kwa kupitia mwanasheria au uandishi wa barua binafsi. Mfano: kuomba likizo bila malipo ili uhangaike na kesi yako.

Baada ya hapo suala linaweza kufuata sheria za kazi zinasemaje juu ya kiasi cha muda aliokosekana kazini au kampuni kutumia busara zitakavyowatuma.

Ingawa, katika hali ya kawaida inahitaji busara ya hali ya juu sana. Na pia uwe mtu mwenye rekodi nzuri kazini na ufanisi.
 
Mkuu, nadhani kitu kama hicho kwamba:
"Hawana interest ya kuendelea na kesi"
Hapo kuna vitu viwili, kuna suala la kesi ya jinai, ambayo, kwa vile aliua, ilikuwa hamna namna, lazima afikishwe mahakamani, lkn pia mahakama ikatenda haki, ndhani kwa kuzingatia kipengele Cha defence ya provocation.
Suala la pili, ni kurudishwa kazini,, hapo ni Sheria nyingine inahusika, Sheria ya mahusiano kazini, sasa huko ni suala la mwajili Na mwajiriwa, hatujui terms of employment Hapo mahali pake pa kazi zinasemaje, ambapo sidhani kama kuna mwajiri atakubali kuendelea na mtu ambae hayupo kazini miaka minne, bila kujali kwamba ameshinda kesi au la, hilo mwajiri halimhusu. Hatujui lkn
 
Nilikuwa na rafiki yangu, alikuwa ameajiriwa katika shirika moja zuri tu, katika position nzuri tu.
Siku moja alimfumania mke wake na jamaa fulani chumbani kwake wamekaa kitandani wakiangalia ponografia.
Paap! Mke akachoropoka, wakabaki wawili chumbani, mfumania na mfumaniwa.
Ngumi zikaanza, tap tap, tap tap!
Mfumaniwa akapigwa moja makini sana, akadondoka chini tuup! Ili kumaliza kazi, mfumania akaongezea na tofali la kichwa paap!
Mfumaniwa akapoteza maisha palepale!
Kesi ikaenda Polisi, mahakamani. Mfumania alikaa ndani kama miaka minne hivi!
Jamhuri ilitafakari ikaona kwa kweli mfumania hakutendewa haki kabisa, hivyo ikamwachia huru!

Sasa uchungu wangu ni kwamba Jamaa alivyorudi kazini akawa amepoteza kazi!
Swali langu: kama Jamhuri ilimuonea huruma na kuona kwamba jamaa hakutendewa haki, kwa nini isiwe hivyo na kwa mwajiri pia?
Kesi kama hii imenikumbusha mbali sana, natamani miaka irudi nyuma kidogo
 
Duh yaani ngumi tap tap tap na tofali jamaa akadedi, huyo mfumania atakuwa na nakozi za chuma🐒
 
Back
Top Bottom