Msaada wa kisheria tafadhali

Msaada wa kisheria tafadhali

Tayari una criminal record muajiri hawezi kukuajiri tena, hapo wewe tafuta namna ya kujiajiri...
 
Hili ni swali la kisheria sikutarajia kuona comments za watu wasiojua Sheria Ila naona watu wanatoa tu maushauri hayaeleweki.

Anyway mleta mada check me PM nitakupa maelezo na nini Cha kufanya ili aweze kupata haki zake kisheria kutoka kwa mwajiri wake.

But kindly get all your facts right kujua njia sahihi ya kufuatilia haki zake maana tunaweza kutoa ushauri kwenye facts ambazo were not in issue na zikalead to wrong legal opinion based on wrong information.
 
Nilikuwa na rafiki yangu, alikuwa ameajiriwa katika shirika moja zuri tu, katika position nzuri tu.
Siku moja alimfumania mke wake na jamaa fulani chumbani kwake wamekaa kitandani wakiangalia ponografia.
Paap! Mke akachoropoka, wakabaki wawili chumbani, mfumania na mfumaniwa.
Ngumi zikaanza, tap tap, tap tap!
Mfumaniwa akapigwa moja makini sana, akadondoka chini tuup! Ili kumaliza kazi, mfumania akaongezea na tofali la kichwa paap!
Mfumaniwa akapoteza maisha palepale!
Kesi ikaenda Polisi, mahakamani. Mfumania alikaa ndani kama miaka minne hivi!
Jamhuri ilitafakari ikaona kwa kweli mfumania hakutendewa haki kabisa, hivyo ikamwachia huru!

Sasa uchungu wangu ni kwamba Jamaa alivyorudi kazini akawa amepoteza kazi!
Swali langu: kama Jamhuri ilimuonea huruma na kuona kwamba jamaa hakutendewa haki, kwa nini isiwe hivyo na kwa mwajiri pia?
nasikitika kamuua jamaa bila kumtatua marinda kwanza, angemtatua ndo amuue.
 
Hili ni swali la kisheria sikutarajia kuona comments za watu wasiojua Sheria Ila naona watu wanatoa tu maushauri hayaeleweki.

Anyway mleta mada check me PM nitakupa maelezo na nini Cha kufanya ili aweze kupata haki zake kisheria kutoka kwa mwajiri wake.

But kindly get all your facts right kujua njia sahihi ya kufuatilia haki zake maana tunaweza kutoa ushauri kwenye facts ambazo were not in issue na zikalead to wrong legal opinion based on wrong information.
PM ya nini tapeli wewe, shuka notes hapahapa, kama huwezi, tembeaaaaa.
 
Nilikuwa na rafiki yangu, alikuwa ameajiriwa katika shirika moja zuri tu, katika position nzuri tu.
Siku moja alimfumania mke wake na jamaa fulani chumbani kwake wamekaa kitandani wakiangalia ponografia.
Paap! Mke akachoropoka, wakabaki wawili chumbani, mfumania na mfumaniwa.
Ngumi zikaanza, tap tap, tap tap!
Mfumaniwa akapigwa moja makini sana, akadondoka chini tuup! Ili kumaliza kazi, mfumania akaongezea na tofali la kichwa paap!
Mfumaniwa akapoteza maisha palepale!
Kesi ikaenda Polisi, mahakamani. Mfumania alikaa ndani kama miaka minne hivi!
Jamhuri ilitafakari ikaona kwa kweli mfumania hakutendewa haki kabisa, hivyo ikamwachia huru!

Sasa uchungu wangu ni kwamba Jamaa alivyorudi kazini akawa amepoteza kazi!
Swali langu: kama Jamhuri ilimuonea huruma na kuona kwamba jamaa hakutendewa haki, kwa nini isiwe hivyo na kwa mwajiri pia?
Nyoosha kwanza maelezo.Je alitiwa hatiani hlf labda mitigation ndio ikamfanya apate adhabu ndogo?
Endapo alitiwa hatiani (haijalishi kaadhabu alikopewa),hiyo ni ground tosha kuondolewa kwenye utumishi wa umma.
 
Nilikuwa na rafiki yangu, alikuwa ameajiriwa katika shirika moja zuri tu, katika position nzuri tu.
Siku moja alimfumania mke wake na jamaa fulani chumbani kwake wamekaa kitandani wakiangalia ponografia.
Paap! Mke akachoropoka, wakabaki wawili chumbani, mfumania na mfumaniwa.
Ngumi zikaanza, tap tap, tap tap!
Mfumaniwa akapigwa moja makini sana, akadondoka chini tuup! Ili kumaliza kazi, mfumania akaongezea na tofali la kichwa paap!
Mfumaniwa akapoteza maisha palepale!
Kesi ikaenda Polisi, mahakamani. Mfumania alikaa ndani kama miaka minne hivi!
Jamhuri ilitafakari ikaona kwa kweli mfumania hakutendewa haki kabisa, hivyo ikamwachia huru!

Sasa uchungu wangu ni kwamba Jamaa alivyorudi kazini akawa amepoteza kazi!
Swali langu: kama Jamhuri ilimuonea huruma na kuona kwamba jamaa hakutendewa haki, kwa nini isiwe hivyo na kwa mwajiri pia?
Ashukuru yupo huru
 
Back
Top Bottom