mimimnyenyekevu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 737
- 1,002
- Thread starter
-
- #21
Asante kwa mchango wako mkuu,hiyo Aya ya mwisho imekaa vyema sanaMama amemkubalia jamaa kwa sababu jamaa ni muungwana anafanya kile kilichompeleka eneo husika (kuchukua watoto) yan hana ajenda nyingine za kuharibu au kuvuruga.
Mwanaume anamkatalia mtalaka wake kwa sababu ya tabia zake huenda ni mgomvi , mtu anachukua watoto kwa ajili likizo mara siku mbili tu dada huyu hapa anakuja na varangati anataka kuchukua watoto anajaza mtaa kwa fujo na kumtukana mke mwenzie.
Yule ni baba wa watoto mradi hamna shida yeyote kwa watoto fuatilia mwenyewe kujua anapoishi.
Huenda wewe ni mshari au una michezo ya kiswahili Dear Ex anaogopa usijue details zake mpya au muulize kwanini hataki !!
Ila kwenye Aya ya kwanza ,unajuaje kuwa jamaa ni muungwana? Moyo wa mtu ni kichaka mkuuMama amemkubalia jamaa kwa sababu jamaa ni muungwana anafanya kile kilichompeleka eneo husika (kuchukua watoto) yan hana ajenda nyingine za kuharibu au kuvuruga.
Mwanaume anamkatalia mtalaka wake kwa sababu ya tabia zake huenda ni mgomvi , mtu anachukua watoto kwa ajili likizo mara siku mbili tu dada huyu hapa anakuja na varangati anataka kuchukua watoto anajaza mtaa kwa fujo na kumtukana mke mwenzie.
Yule ni baba wa watoto mradi hamna shida yeyote kwa watoto fuatilia mwenyewe kujua anapoishi.
Huenda wewe ni mshari au una michezo ya kiswahili Dear Ex anaogopa usijue details zake mpya au muulize kwanini hataki !!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2960]Kama bado unampenda huyo ex wako, na unataka mrudiane muishi kwa upendo na mapenzi tele kama zamani, njoo DM. Pesa utanilipa baada ya kufanikiwa.
wale walishaishi pamoja wanajuana tabia hadi za ndani !! jamaa huenda ana makando kando yake lakini sio msumbufu au hana vurugu amekubali kumove on !! Dada angejua jamaa ni mkorofi angejitahid kukaa nae mbali angenyima hadi watoto ! Kama amempa watoto basi ujue anamwamini !!Ila kwenye Aya ya kwanza ,unajuaje kuwa jamaa ni muungwana? Moyo wa mtu ni kichaka mkuu
Asante kwa mchango wako mkuuHatujui sababu ya Baba yao kutotaka wewe upaju, hatujasikia upande wake, lakini ilimradi ni baba yao na bado anaonesha upendo, anahudumia, muache hizo siku chache aenjoy na watoto, nao wana haki kwa baba yao. Usitafute mtafaruku usiokuwa na maana.
Kisheria ni kosa kumnyima baba kuwaona watoto wake,ni haki yake kujua wanapoishi na maendeleo Yao,ndicho alichofanya huyu mama hajamficha chochote, na Wala hajawahi kumuanzishia ugomvi wowote baada ya kuoawale walishaishi pamoja wanajuana tabia hadi za ndani !! jamaa huenda ana makando kando yake lakini sio msumbufu au hana vurugu amekubali kumove on !! Dada angejua jamaa ni mkorofi angejitahid kukaa nae mbali angenyima hadi watoto ! Kama amempa watoto basi ujue anamwamini !!
Hayo ni maamuzi ya baba kama kumuonesha au kutomuonesha, maana wazazi wengine wana ma bifu yao hadi watoto wanapeana ustawi wa jamii!!Hujaeelewa wapi mkuu,watoto wanaishi na mama,ila ikifika likizo yaani wakifunga shule wanaena kwa baba Yao,Sasa swali ni je huyu mama hatakiwi kufahamu watoto wanapoishi wakati wa likizo?