Msaada wa Kisheria Tafadhali.

Msaada wa Kisheria Tafadhali.

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Mtoto wa Kaka yangu ilikua apelekwe india kwa ajili ya macho i mean alikua na uvimbe watu wa insurance yake wakachelewa kumpatia go ahead wakawa wanamzungusha miezi mingi tu mpaka amekua kipofu jicho moja je tunaweza kuwa sue Mahakamani? na kama napata Wakili mzuri kuna uwezekano wa kushinda kesi ya aina hii?
Ni hayo tu nakaribisha ushauri wenu na maoni yenu.
 
Back
Top Bottom