msaada wa kisheria tafadhari

F9T

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
2,677
Reaction score
4,959
wakuu naombeni msaada wa kisheria kwa hiki kitu nilichoulizwa na mwanafunzi wangu ktk somo la URAIA, ni hivi sheria inasemaje kwa mama mzazi anapohukumiwa kifungo cha jela na wakati huo mama huyo akawa ananyonyesha mtoto mchanga? je, atakwenda naye mtoto gerezani? na kama akienda naye mtoto huyo gerezani hapo hapatokuwa na dosari ya kumfunga naye kifungo kama mama yake? msaada tafadhar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…