Msaada wa kisheria wakuu Nadhulumiwa

Wa kusoma

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2011
Posts
3,454
Reaction score
2,975
Nilishitakiana na mwajiri CMA nikamshinda na akaamriwa kunilipa kiasi fulani cha pesa. Tuliandikiana mahakamani na yeye akaweka sahihi maamuzi yale. Sasa muda wa malipo umefika mpaka leo ni danadana tu hajalipa hela ni zaidi ya mwezi kutoka tarehe aliyoahidi. Nichukue hatua gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…