Msaada wa Kisheria: Warithi wa kike wanadhulumiwa haki zao za msingi na mtoto wa Nje ya Ndoa

Kweli usemalo mda sio mrefu nmeambiwa wameenda kwa M/kiti wa Mtaa tatizo huyo kijana asikii la muadhini wala mteka maji msikitini anaweza akaenda kuwenywea pombe na kuwavutia bangi kisha akaja kuwatukana wamama wawatu
Ikiwa atafanya hivyo achukuliwe hatua za kinidhamu...ashitakiwe kwa kosa la kutukana na matumizi ya dawa za kulevya! Poleni sana binadamu tumeumbwa tofauti tofauti na madhaifu ili kusaidiana!
 
Ikiwa atafanya hivyo achukuliwe hatua za kinidhamu...ashitakiwe kwa kosa la kutukana na matumizi ya dawa za kulevya! Poleni sana binadamu tumeumbwa tofauti tofauti na madhaifu ili kusaidiana!
Yaani mtu huyu ukiambiwa mambo anayoyafanya huwezi kuamini mpaka hawa wa mama wanamuogopa alafu kitu kingine jamaa ni mtu wa kalumanzila balaa! Hivyo ndo maana hawa wa mama wanataka suluu na yeye sema yy ndo kichwa mchunga haelewi chochote wala kusikia
 
Ni msukuma?
 
Wakafungue mirathi kwa sheria za kiislamu hapo watakuwa wameweza kum outsmart mtoto wa nje ya ndoa..
 
Sharia ya mirathi kwa dini ya kiislamu haimtambui mtoto wa nje... Huyu anaitwa mtoto wa haramu.
Ndo maana anawasumbua
 
Thubutu asije wakati tunalima mihogo akajumuika atusumbue kisa nini?? Hatumpi attention ahangaike na maneno yake kila mtu apewe chake na mahakama tusijuane,. Japo siko level ya kutafuta mali za urithi zangu zinatosha.
 
Thubutu asije wakati tunalima mihogo akajumuika atusumbue kisa nini?? Hatumpi attention ahangaike na maneno yake kila mtu apewe chake na mahakama tusijuane,. Japo siko level ya kutafuta mali za urithi zangu zinatosha.
Yaan huyu mtu kashindwa kujitafutia maisha kaamua kuja kuwa kaba wa mama wawatu
 
Waache ujinga hao.....(sorry kwa lugha kali)

Hilo ndilo tatizo.kubwa.

Wajitambue wajue haki zao kwanza
 
Mungu wangu..huyo mtoto kwa vile ndio haramu ndio maana..pole sana
 
Yaan huyu mtu kashindwa kujitafutia maisha kaamua kuja kuwa kaba wa mama wawatu
Kwetu mwanamke haruhusiwi kurithi mali za baba yake, hao kina waache kutolea macho hizo kama wameolewa watulie wale mali za waume zao.
 
Waswahiliwalisema, mtegemea cha ndugu,hufa masikini.

Pia walisema, cha mtu mavi.

Binafsi sitaka kushobokea mali ya urithi.
 
Wasikubali kuuza nyumba kwa ajili ya juha huyo.Watoto wote ni sawa bila kujali jinsia.Wampeleke mahakamani asiwasumbue hana lolote ila waanze kwa mwenyekiti wa mtaa ama kijiji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…