Msaada wa kisheria

Msaada wa kisheria

hp4510

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
7,235
Reaction score
7,392
kuna jamaa alinimbia anauza magari kwa kukopesha, ila natakiwa nimpatie advance ya laki 5.... nikampatia pesa na ajanipa gari mpaka leo, je naweza kwenda kumfungulia kesi na bahati mbaya hatukuandikishiana kokote
 
Wakati unampatia hiyo laki tano, kuna watu wengine waliona na au kusikia hayo makubaliano yenu? Kama mlikuwa wawili tu wakati wa makubaliano yenu itakuwa ni ngumu zaidi kuthibitisha ila kama kuna watu wengine walikuwepo hao ndio watakuwa mashahidi wako wakati wa kwenda mahakamani
 
Back
Top Bottom