Msaada wa kisheria

Msaada wa kisheria

tagamwa

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2016
Posts
342
Reaction score
236
Kuna Shangazi alikuwa anaishi nje ya nchi ya Mume wake walifanikiwa kupata mtoto mmoja ambaye sasa ana miaka mitatu
Mwaka jana mmewe akaamua kurejea Tanzania na uyo kwa makubaliano ya kwamba mtoto akamuache kwa Bibi yake yani upande wa kikeni kisha arejee sehemu aliyokuwa anaishi na mkewe waendeleze maisha yao

uyo mme wa shangazi baada ya kuwasili Tanzania akaamua kuoa mke mwingine na anaishi nae pamoja na uyo mtoto
Mama wa mtoto nae akarejea tanzania na anamuhitaji mwanae ili aishi nae lakini mwanaume hataki kumpatia mtoto mke wa zamani

Je kisheria utaratibu upoje , wataalam wa sheria mtusaidie
 
Kama alivyosema aliyetangulia hapo juu mahakama katika kudetermine custody ya mtoto principle 'best interest of the child' inatumika.
sasa kama huyo mwanamke anaweza kuthibitisha kwamba ana nafasi nzuri ya kumtunza mtoto mahakama itaamua
kwa uzoefu wangu mahakama mara nyingi hutoa ruhusa kwa mama kumuona na kuishi na mtoto vipindi vya likizo kwa uhiano sawa kati ya baba na mama
 
Kama alivyosema aliyetangulia hapo juu mahakama katika kudetermine custody ya mtoto principle 'best interest of the child' inatumika.
sasa kama huyo mwanamke anaweza kuthibitisha kwamba ana nafasi nzuri ya kumtunza mtomto mahakama itaamua
kwa uzoefu wangu mahakama mara nyingi hutoa ruhusa kwa mama kumuona na kuishi na mtoto vipindi vya likizo kwa uhiano sawa kati ya baba na mama
Mama ana uwezo mkubwa sana wa kumtunza mtoto kuliko Baba ,
 
Mama ana uwezo mkubwa sana wa kumtunza mtoto kuliko Baba ,[/Q
Mama ana uwezo mkubwa sana wa kumtunza mtoto kuliko Baba ,
vp mtoto anasoma ?
bording or day ?
kiafya je yupo vizuri ?
umri ?
nadhani hayo maswali yatasaidia kujua nani ana nafasi bora zaidi ya kubaki na mtoto na kumuhudumia pia in th first instance nadhani mama kuruhusu mtoto apelekwe kwa bibi alikosea na kitendo hicho ni advantage kwa upande wa baba although kulikuwa na makubaliano
 
Mwezi ujao anafikisha miaka minne , hatujui kama anasoma au lah kwa mana Baba wa mtoto amekata mawasiliano na sisi , hapokei simu wala hajibu sms

Mama na Baba wa mtoto wote walikubali kuwa wamrejeshe mtoto Tanzania mana walikuwa wanaishi nje ya nchi
 
vp mama anapata haki ya kumuona/spend time na mwanae kipindi cha likizo na sikukuu ?
Mama ana wiki sasa toka alivyorudi Tanzania , bado hajabahatika kuonana na mtoto kwa kuwa Baba wa mtoto hatoi ushirikiano
 
Mtoto chini ya miaka 7 inabidi aishi na mama yake mpka kuwe na tatzo la kufanya ionekane litamuathiri mtoto ndo inakuwa vice versa
 
Msaada jamani kuhusu masuala ya mirathi mtu anapofika sehemu kufunja sheria zake na misingi yake mwisho kubadilisha hati ya nyumba
 
Mtot yuko chini ya miaka saba mama anahusika , unless otherwise kwa best interest of th child prevails
 
Back
Top Bottom