Msaada wa Kisheria

Msaada wa Kisheria

Mazaya

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2015
Posts
859
Reaction score
761
Guys naomba ushauri kidogo kwa Lawyers, Law enforcement members, wanazuoni n.k. Kuna jamaa yangu kapatwa na tatizo kuna wageni walifika kwake, mdada na mkaka walikuwa wametoroshana, mdada alikuwa na mtoto (Si wa yule jamaa mtoroshaji). Huyu ndugu yangu hapo kwake ana kisima kidogo cha mkono (kama dimbwi hajakifunika) huyu mtoto wakati wakubwa wanapiga soga akiwakwepa akazunguka nyuma ya nyumba akazama kwa hicho kisima akapoteza uhai, nimekuja kwenu mnisaidie ushauri afanyeje huyu ndg? Na nini matokeo ya hili swala?
*Its Urgently issue your assistance is needed ASAP*
 
Kwanza atoe taarifa Serikali ya Mtaa Then Police

Ugumu au Urahisi wa Swala Hilo utategemea na Statement atakayoitoa huyo ndugu yako.

Najua hofu ya mleta Uzi ni hao watu waliotoroshana, just calm down mnaweza mkafanya watu wasijue kama walitoroshana kama hakuna umuhimu wa watu kujua.
 
Kwanza atoe taarifa Serikali ya Mtaa Then Police

Ugumu au Urahisi wa Swala Hilo utategemea na Statement atakayoitoa huyo ndugu yako.

Najua hofu ya mleta Uzi ni hao watu waliotoroshana, just calm down mnaweza mkafanya watu wasijue kama walitoroshana kama hakuna umuhimu wa watu kujua.


Thanks,
Polisi hawatamshikiria kwa kosa la kusababisha mauaji hayo?
 
Kasababishaje mauaji?!

Katoeni statement kuwa mtoto katumbukia kwenye bwawa/kisima over suala LA bwawa/kisima kuwa wazi don't mention, kisima kilifunikwa ila watoto katika michezo yakatokea.
 
apo icho kisima lazima uwajibishwe kiasi flani kwa nini usiweke mfuniko au kuzuia upenyo kiasi cha mtoto kutumbukia
 
Kasababishaje mauaji?!

Katoeni statement kuwa mtoto katumbukia kwenye bwawa/kisima over suala LA bwawa/kisima kuwa wazi don't mention, kisima kilifunikwa ila watoto katika michezo yakatokea.
Sawa atasena hivo je wao hawawezi kuja kuangalia hicho kisima au hilo Bwawa? Je wakikuta sio bwawa itakuwaje na pia wakikuta hapajafunikwa wakat kashasema pamefunikwa hapo vp hawezi kujiweka matatani zaidi?

*A good wife is from God, but a good husband is from Kigoma*
 
Rip katoto jamani uwiii!
Hamna kesi hapo!
Amsaidie huyo mama aliyepoteza mtoto, that’s all!
 
Sawa atasena hivo je wao hawawezi kuja kuangalia hicho kisima au hilo Bwawa? Je wakikuta sio bwawa itakuwaje na pia wakikuta hapajafunikwa wakat kashasema pamefunikwa hapo vp hawezi kujiweka matatani zaidi?

*A good wife is from God, but a good husband is from Kigoma*
Heshima Mkuu

Hoja yangu ya msingi ni kuwa The way atakavyo statement ndivyo ugumu au urahisi utakavyokuwa.

A good Wife is from Facebook, but a good Husband is from Bank
 
Back
Top Bottom