MSAADA WA KISHERIA

MSAADA WA KISHERIA

kikore255

Member
Joined
Jul 30, 2018
Posts
39
Reaction score
18
Habari za wakati huu wakuu humu ndani ,jamani mimi naomba kuuliza kwa wanaojua sheria za uhamiaji ,nina rafiki mmoja tulifahamiana sehem ya kazi yeye ni MCHINA sasa nimepata taarifa kuwa alikamatwa na watu wa uhamiaji wamemuweka ndani kwa zaidi ya mwezi sasa ?swali langu ni je kama labda kuna mambo alikiuka je ni sahihi kumshikilia kwa siku zote hizo ,na je nini haki zake hata kama alikosea?? Asanteni.
 
Nenda kamuone huko alipo katika mahabusu na uongee naye ili akupe sababu ya kukamatwa kwake inawezekana siyo hiyo unayotuambia.sheria kwa ujumla inamtaka afisa mkamataji akamate, apekue,ahoji ,apate ushaidi na apeleke mahakamani au ampe dhamana kama kosa lina dhamana hiyo ni sheria kwa makosa yote yanayotambuliwa na taifa letu
 
Nenda kamuone huko alipo katika mahabusu na uongee naye ili akupe sababu ya kukamatwa kwake inawezekana siyo hiyo unayotuambia.sheria kwa ujumla inamtaka afisa mkamataji akamate, apekue,ahoji ,apate ushaidi na apeleke mahakamani au ampe dhamana kama kosa lina dhamana hiyo ni sheria kwa makosa yote yanayotambuliwa na taifa letu
Asante mkuu kwa ushauri
 
Back
Top Bottom