Kampuni kuuzwa huku ukiwa kama mfanyakazi mwenye mkataba na muajiri wa zamani huku muajiri mpya akikutaka usaini mkataba mpya uendelee na ajira,je, kuna malipo yoyote unayotakiwa kulipwa?
Kampuni kuuzwa huku ukiwa kama mfanyakazi mwenye mkataba na muajiri wa zamani huku muajiri mpya akikutaka usaini mkataba mpya uendelee na ajira,je, kuna malipo yoyote unayotakiwa kulipwa?
Tuwekee mikataba yote miwili, wa kampuni ya awali na hiyo nyingine.......!
ILA UKIONA UNA NYANYASIKA, FUNGUA KAMPUNI YAKO NA WEWE, UONE KAMA NI VYEMA UKIGILISIKA, NA UKALAZIMIKA KUI UZA KAMPUNI, na wakati huo uwalipe wa fanya kazi.......!