kuna kampuni ilidhanini kusoma kwa makubaliano kuwa nikimaliza kusoma watanirudishia gharama zote- mkataba upo.baada yakumaliza wameomba recepts ili warudishe.
Nimetuma recepts za ada niliolipa lakini recepts za matumizi yangu kama hostel, stationery, meal, transport etc sina wamegoma kulipa na hizi ndio ela nyingi kuliko ada- kwa mujibu wa fees,structure. Je nikienda nahakamani nitashinda.
Nimetuma recepts za ada niliolipa lakini recepts za matumizi yangu kama hostel, stationery, meal, transport etc sina wamegoma kulipa na hizi ndio ela nyingi kuliko ada- kwa mujibu wa fees,structure. Je nikienda nahakamani nitashinda.