- Thread starter
- #21
Ubarikiwe sanaUsjali. Karibu tena mkuu [emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubarikiwe sanaUsjali. Karibu tena mkuu [emoji1]
Point kubwa sana! Nitaenda polisi kwanza.
NINAYONakaka ya hukumu unayo ?
HAPANA, KUNA MIRATHI YA BABU YAKE AKIMPA HILO ENEO. WALISHAGAWIWA MAENEO YAO NA KILA MOJA AKARIDHIKA. MSIMAIZI WA MIRATHI ALITOA USHAHID HUO NA WALIOTIA SAHIHI KWENYE WOSIA WOTE WALITOA USHAHIDI KUWA ENEO HILO NI LA MJUKUU ALIYENIUZIA.Mtoto shamba kapewa na babake harafu akakuuzia wewe!, kuna uthibitisho wa umiliki wa mtoto kumilikishwa hilo shamba?, maana yaonekana kama mtoto kauza shamba lisilo lake.
Ushauri wako mzuri lakini kumwacha mtu akate miti, auze mbao Kisha wewe uje kufungua kesi baadaye kudai fidia Kwa system ya mahakama zetu, ni vigumu kupata haki. Mwenzako tayari atakuwa na Hela ya kuhonga polisi, hakimu, kuweka wakili wakati ndugu yetu hata mafuta ya kuwapa polisi Hana. Kuna baadhi ya polisi hawashughuliki na migogoro ya ardhi labda Hadi waone watu wanahatarisha amani au mauaji. Ni vizuri kuchukua hatua ya haraka afungue kesi Baraza na kuweka zuio.Asante.
Sikutaka kumpeleka huko kwenye kufungua kesi ya msingi (land application), zuio la muda (temporary injunction) na kuomba isikilizwe kwa haraka kwa kuweka hati ya dharura (certificate of urgency), kwasababu hizo ni hatua za mbele sana.
Yeye alitaka cha kufanya sasa kwasababu jamaa ameanza kuvuna miti.
Kwa sasa polisi wanaweza kumsaidia kwa kutumia nakala ya hukumu. Hapa itatumika busara na siyo Sheria, kwasababu so far, hata hao polisi hawamjui mmiliki halali.
Vinginevyo afanye kama nilivyoshauri mwishoni kwamba amuache aendelee kuvuna wakati huo afungue shauri la msingi, akishinda adai fidia.
Ndugu yangu, siku hizi hakuna kesi inayoenda Wilayani bila kupitia Kata isipokuwa kama imekaa Kata kwa zaidi ya mwezi bila muafaka kupatikana.Ushauri wako mzuri lakini kumwacha mtu akate miti, auze mbao Kisha wewe uje kufungua kesi baadaye kudai fidia Kwa system ya mahakama zetu, ni vigumu kupata haki. Mwenzako tayari atakuwa na Hela ya kuhonga polisi, hakimu, kuweka wakili wakati ndugu yetu hata mafuta ya kuwapa polisi Hana. Kuna baadhi ya polisi hawashughuliki na migogoro ya ardhi labda Hadi waone watu wanahatarisha amani au mauaji. Ni vizuri kuchukua hatua ya haraka afungue kesi Baraza na kuweka zuio.