msaada wa kisheria

msaada wa kisheria

Luthar

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2011
Posts
519
Reaction score
105
Kuna kesi ya madai ilipelekwa mahakama kuu ikafutwa tar 21 .mwezi wa pili leo ikaanza tena alafu ikapangwa mahakama ya wilaya ni sawa
 
Nadhani kwa maelezo yako hutapata msaada unaohitaji maana wanasheria wetu huwa wanapenda kupewa maelezo kwa upana zaidi ili waweze kuchambua na kutoa majibu. Kwahiyo ingekuwa vizuri kama ungesema kesi inahusu nini, inadai fidia kiasi gani na vitu vingine kama hivyo.

Samahani kama nimekukatisha tamaa.
 
Nadhani kwa maelezo yako hutapata msaada unaohitaji maana wanasheria wetu huwa wanapenda kupewa maelezo kwa upana zaidi ili waweze kuchambua na kutoa majibu. Kwahiyo ingekuwa vizuri kama ungesema kesi inahusu nini, inadai fidia kiasi gani na vitu vingine kama hivyo.

Samahani kama nimekukatisha tamaa.

Haswaa, maana kuna vigezo vingi vya kufanya hivyo, toa facts za case yenyewe upata msaada.
 
Asante kwa ushauri nikwamba huyu mtu alikopa pesa kwa wenziwe kwa 30% akawarudishia pesa yao hivyo imefika siku hao watu walio mkopeshea wakaenda polisi wakafungua kesi wakaandika walimpatia mil18 hivyo polisi wakasema anayetoa mthamana ni ocd kweli ikashuhulikiwa ukaptikana mthamana.kesiikapelekwa mahakama kuu ikaitwa kama mara tatu mara ya nne wakasema hakuna kesi hapo ambayo ilikuwa mwezi 2 tarehe 21 ilipofika tarehe 6 akaitwa polisi kuwa kesi inaanza upya wakapelekwa mahakama kuu waksema kesi imeamishiwa mahakama ya wilaya kukashindwa elewa sheria jamani
 
hairuhusiwi mtu kushitakiwa mara mbili kwa kosa hlohlo moja ambalo lishatolewa maamuz na mahakama ( double jeopard).chukua maamuz ya mahakama kuu kama kielelezo au ushahidi.ili ujidifense kwa kutumia atrofois acquit kuwa kes ilishamalizwa na uliachiwa.C.p.a na katiba iko waz.
 
hairuhusiwi mtu kushitakiwa mara mbili kwa kosa hlohlo moja ambalo lishatolewa maamuz na mahakama ( double jeopard).chukua maamuz ya mahakama kuu kama kielelezo au ushahidi.ili ujidifense kwa kutumia atrofois acquit kuwa kes ilishamalizwa na uliachiwa.C.p.a na katiba iko waz.

Hapo mkuu sijakuelewa! Ni wakati gani itakuwa hivyo? Sio kwamba inategemea na stage ambayo kesi imefikia?
 
Asante kwa ushauri nikwamba huyu mtu alikopa pesa kwa wenziwe kwa 30% akawarudishia pesa yao hivyo imefika siku hao watu walio mkopeshea wakaenda polisi wakafungua kesi wakaandika walimpatia mil18 hivyo polisi wakasema anayetoa mthamana ni ocd kweli ikashuhulikiwa ukaptikana mthamana.kesiikapelekwa mahakama kuu ikaitwa kama mara tatu mara ya nne wakasema hakuna kesi hapo ambayo ilikuwa mwezi 2 tarehe 21 ilipofika tarehe 6 akaitwa polisi kuwa kesi inaanza upya wakapelekwa mahakama kuu waksema kesi imeamishiwa mahakama ya wilaya kukashindwa elewa sheria jamani
Toka mwazo ilibidi muanzie Mahakama ya wilaya kabla ya kurukia mahakama kuu lakini kama mahakama kuu walitoa hukumu nenda nayo mahakama ya wilaya au kaiombe km hauna uwasilishe kuonyesha kua swala hilo lilishatolewa uamuz na ww kuachiliwa kisheria artofois acquit
 
Stay of a suit!!section 8 ya cpc inasema hvi,"no court shal proceed with the trial of any suit in which the matter in issue is also dirrectly and substantially in issue in a previously instituted suit btn the same parties,........"pia sect 9 ya cpc (res judicata)inakatazo court kuendelea na matter yoyote ile ambyo imeshafanyiwa maamuzi na mahakama yenye compitent jurisdiction,hzo ni hints 2 kidgo kwa kesi yako kama vipi ncheki 0758 144803,af pia inakubidi useme ni kias gan cha pesa kinachodaiwa coz kuna kias flan cha pesa hzi baadh ya mahakama aziwez kuzickiliza.
 
Stay of a suit!!section 8 ya cpc inasema hvi,"no court shal proceed with the trial of any suit in which the matter in issue is also dirrectly and substantially in issue in a previously instituted suit btn the same parties,........"pia sect 9 ya cpc (res judicata)inakatazo court kuendelea na matter yoyote ile ambyo imeshafanyiwa maamuzi na mahakama yenye compitent jurisdiction,hzo ni hints 2 kidgo kwa kesi yako kama vipi ncheki 0758 144803,af pia inakubidi useme ni kias gan cha pesa kinachodaiwa coz kuna kias flan cha pesa hzi baadh ya mahakama aziwez kuzickiliza.
I thnk the matter is criminal and nat civil
 
kwanza napata wacwac kuhusu mdhamana coz hyo ni kes ya madai.utatumia section 9 ya cpc.
 
I thnk the matter is criminal and nat civil

hapana mkuu híi ni civil case,isipokua anachotaka kujua muuliza swali ni je,sheria inasemaje kuhusu re mitigation..!!kesi haiwez kuanzia maakama kubwa na kurudi chini,labdi kama 2 walishauriwa na mahakama kuu kufungua kesi ktka mahamakama ya wilaya na si vingnevo..
 
Mim navyoona hiyo kesi haikuanza sikilizwa na hiyo high court maana walipotoa directions iende hiyo mahakama ya wilaya kwa msingi huo mahakama ya wilaya ndo inabidi iisikilize hiyo kesi on merits..maana zile grounds za res judicata naona kama hazijakamilika wote therefore court of competent jurisdiction ni hiyo mahakama ya wilaya inategemea na amount of money..ingawa high court ina inherent jurisdiction
 
Back
Top Bottom