jaqfantasy212
JF-Expert Member
- Dec 17, 2012
- 542
- 257
habari wanaJF..
Naomba ufafanuzi wa kisheria katika hili...
story ina mlolongo mrefu sana, ila naomba niandike kwa kifupi sana ili muweze kunielewa nahitaji nini hasa..
Baba alipofariki miaka 22 iliyopita aliacha vitu kama nyumba na mashamba kwa ajili ya mama na watoto, kila mmoja alikuwa amemuandikia apate nini, kwa kuwa alifariki tukiwa bado wadogo, vitu vyote alikuwa anaviangalia mama mpaka tulipokuwa wakubwa wa kujitegemea, mama aliamua kutuonyesha na kutupa kila mtu alichoachiwa japo hakutupa kimaandishi..
Tatizo ni hili, kwa upande wa kaka yangu yeye alioa akawa anaishi na mke wake kwenye nyumba aliyopewa, kwa bahati mbaya aliachana na mke wake takribani miaka saba iliyopita,mwanamke aliondoka na watoto..mwaka jana mwezi wa nane alifariki, shida ni kwamba mke wake amerudi na anataka mirathi ya marehemu mume wake..
swali langu ni je, ni haki yeye kupewa mirathi ya mumewe ingawa walikuwa wameachana?
pili ni lazima apewe yeye hata kama familia ya mume wake haina imani naye?
Naomba ufafanuzi wa kisheria katika hili...
story ina mlolongo mrefu sana, ila naomba niandike kwa kifupi sana ili muweze kunielewa nahitaji nini hasa..
Baba alipofariki miaka 22 iliyopita aliacha vitu kama nyumba na mashamba kwa ajili ya mama na watoto, kila mmoja alikuwa amemuandikia apate nini, kwa kuwa alifariki tukiwa bado wadogo, vitu vyote alikuwa anaviangalia mama mpaka tulipokuwa wakubwa wa kujitegemea, mama aliamua kutuonyesha na kutupa kila mtu alichoachiwa japo hakutupa kimaandishi..
Tatizo ni hili, kwa upande wa kaka yangu yeye alioa akawa anaishi na mke wake kwenye nyumba aliyopewa, kwa bahati mbaya aliachana na mke wake takribani miaka saba iliyopita,mwanamke aliondoka na watoto..mwaka jana mwezi wa nane alifariki, shida ni kwamba mke wake amerudi na anataka mirathi ya marehemu mume wake..
swali langu ni je, ni haki yeye kupewa mirathi ya mumewe ingawa walikuwa wameachana?
pili ni lazima apewe yeye hata kama familia ya mume wake haina imani naye?