KITUNZI MASABO
Member
- Apr 28, 2013
- 7
- 0
Jamani wanasheria mnisaidieni kwa hili nani anapaswa kudistribute ardhi ya kijiji kwa wananchi ama kwa kuwauzia ama vinginevyo (a, VEO, b, WEO, c, mwanasheria yeyote, d, kamati ya kijiji ya ardhi. Nisaidieni tafadhali