Msaada wa kisheria

Msaada wa kisheria

Topetope

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
277
Reaction score
30
Wewe ni mwana sheria hebu tushauri hili tumefanya kazi na mtandao wa simu ya voda takribani miaka 10 nikiwa km wakala leo bila taarifa wananiambia kuwa nikifanya kazi jumapili silipwi kamisheni yangu na wakati huo mteja akifanyiwa huduma ya pesa hukatwa hiyo siku ya jumapili
 
Back
Top Bottom