Msaada wa kisheria

Lyatuu the Great

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2013
Posts
212
Reaction score
85
Msaada wa Kifungu cha sheria kinachohusiana na uhamisho wa mke kumfuata mume naomba aniambie
 
Msaada wa Kifungu cha sheria kinachohusiana na uhamisho wa mke kumfuata mume naomba aniambie
Ungeweka background ya tatizo husika, ingeweza kuwasaidia "wanasheria" kukupa ushauri mzuri zaidi. Mume ameajiriwa na nani na mke ameajiriwa na nani? Wanafanya kazi gani?
 
Mume ameajiriwa wizara ya mambo ya ndani ya nchi na mke ameajiriwa ofisi ya raisi. Je kunahichk kifungu cha kisheria?
 
Government Order itakupa mwongozo ila hakuna sheria ya bunge.
 
Msaada wa Kifungu cha sheria kinachohusiana na uhamisho wa mke kumfuata mume naomba aniambie

Ungeweka background ya tatizo husika, ingeweza kuwasaidia "wanasheria" kukupa ushauri mzuri zaidi. Mume ameajiriwa na nani na mke ameajiriwa na nani? Wanafanya kazi gani?

Mume ameajiriwa wizara ya mambo ya ndani ya nchi na mke ameajiriwa ofisi ya raisi. Je kunahichk kifungu cha kisheria?

Nashukuru nimeona government order kweli imenipa mwongozo.

Government Order itakupa mwongozo ila hakuna sheria ya bunge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…