GRACE KIRUNDWA
New Member
- Jun 16, 2010
- 2
- 0
habari wana jf,
kuna rafiki yangu ameomba nimuulizie ili swali.
1. Yeye ameolewa kwa ndoa ya bomani mume wake ni mwiisilam, wana watoto wawili. Tangu waishi na mumewe takribani miaka mitatu, yeye ndiye anatunza familia kwanzia chakula mpaka ada za shule, watoto wako nursery.
mume wake hafanyi kazi, ila ananyumba ambayo anapokea kodi kila baada ya mwaka 5,000,000 akipokea tuu anasafiri mpaka zikiisha ndipo anarudi.
na akirudi anakuwa hana hata mia moja kwa hiyo anakuwa anamtegemea yeye kwa kila kitu.
sasa huyu dada alikuwa anaomba msaada wa kisheria maana awezi kuondoka na watoto wawili akapange chumba wakati bado watoto wanamtegemea ada na chakula.
nyumba wanayo kaa ni ya huyo mwanamume
asanteni, nitashukuru kama mtanijibu
kuna rafiki yangu ameomba nimuulizie ili swali.
1. Yeye ameolewa kwa ndoa ya bomani mume wake ni mwiisilam, wana watoto wawili. Tangu waishi na mumewe takribani miaka mitatu, yeye ndiye anatunza familia kwanzia chakula mpaka ada za shule, watoto wako nursery.
mume wake hafanyi kazi, ila ananyumba ambayo anapokea kodi kila baada ya mwaka 5,000,000 akipokea tuu anasafiri mpaka zikiisha ndipo anarudi.
na akirudi anakuwa hana hata mia moja kwa hiyo anakuwa anamtegemea yeye kwa kila kitu.
sasa huyu dada alikuwa anaomba msaada wa kisheria maana awezi kuondoka na watoto wawili akapange chumba wakati bado watoto wanamtegemea ada na chakula.
nyumba wanayo kaa ni ya huyo mwanamume
asanteni, nitashukuru kama mtanijibu