Msaada wa kitaalam

Msaada wa kitaalam

Uvombile

Member
Joined
Mar 23, 2014
Posts
80
Reaction score
53
Wadau nina rafiki yangu wa kike, ana tatizo ambalo nashindwa kulielewa ni kwamba huwa anapatwa na maumivu makali usawa wa kitovu upande wa kushoto ambapo anadai anapata maumivu makali sana kwa vipindi fulani fulani
Naomba kujua kutoka kwenu watalaam hili tatizo linatokana na nini na tiba yake inaweza kuwa nini?

Natanguliza shukrani kwa msaada wenu.
 
Back
Top Bottom