the locksman
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 1,102
- 355
Kapime makohozi yanayojaa kooni
POA mkuu, tatizo nini lakini unafikiria.
POA, nashukuru.locksman mimi siyo tabibu, ndiyo maana nikakwambia tatizo lako litajulikana baada ya vipimo kufanyika na utapewa matibabu sahihi ya kuondoa tatizo lako. Pole sana.