Msaada wa kitabu cha Alfu lela ulela

Msaada wa kitabu cha Alfu lela ulela

Ngongoseke

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2012
Posts
3,202
Reaction score
1,462
Habari zenu wa jf natumai mko poa kabisa,samahani waungwana kwa mtu ambae anaju wapi ntapata link ya kitabu cha alfu leyla ulela naomba aniwekee,pamoja na kitabu cha Kamarazaman na bad-uur,samahani watoto wa.com najua hamjui hivi vitabu kwa hiyo naomba heshima iwe mbele sio vibaya kama hujui ukapita kimya

Nawasilisha jukwaani
 
Habari zenu wa jf natumai mko poa kabisa,samahani waungwana kwa mtu ambae anaju wapi ntapata link ya kitabu cha alfu leyla ulela naomba aniwekee,pamoja na kitabu cha Kamarazaman na bad-uur,samahani watoto wa.com najua hamjui hivi vitabu kwa hiyo naomba heshima iwe mbele sio vibaya kama hujui ukapita kimya

Nawasilisha jukwaani

Kanunue kabisa hard copy pale Baraza la Michezo la Taifa BMT ni PM nikupe namba ya simu ya muuzaji wa vitabu hivyo
 
Back
Top Bottom