Msaada wa kituo kwa mtoto mlemavu

Msaada wa kituo kwa mtoto mlemavu

Gily Gru

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2016
Posts
8,632
Reaction score
23,673
Wasalaam

Kuna jambo linamiumiza kichwa nimeshindwa hata kulala usiku huu nikaona niwashirikishe humu

Historia ya Charles David
Mtoto huyu ambae nimepata kufahamiana na mama yake kwa zaidi ya miaka 7 hivi. Kwa majina anaitwa Charles David. Hakuzaliwa na ulemavu, alipata ulemavu wa mwili na akili baada ya kuumwa degedege akiwa na miezi saba.

Baba yake mtoto ni teja teja wa madawa ya kuleva na mwizi mzoefu. Baba huyu hajawahi kuwa msaada kwa mtoto toka aingie kwenye madawa ya kulevya
Mtoto pichani soon anafikisha miaka 15👇

Screenshot_20240715_023557_WhatsApp.jpg


Kufahamiana na mama yake.
Nimefahamiana na mama mtoto tokea mwaka 2016. Anaitwa Maria.

Mtoto alipat kwend kituo cha walemavu masista Dodoma. Kipindi hiki uwezo wangu ulikuwa mzuri kifedha ada ilikuwa 130,000 kwa mwezi, ambapo nilikuwa namlipia mtoto ada ya kituo hapo Dodoma

Maria alikuja kuolewa na kupata mtoto wa pili wa kike.

Mwaka juzi baada ya kupitia changamoto mbalimbali za kifedha ikiweno mikopo bank nikashindwa kumgharamia mtoto. Hivyo kukawa na malimbikizo ya ada hapo kituoni

Mbali na mimi kumlipia mtoto Maria alishawahi kwenda clouds fm akapewa air time na kuweza kuomba msaada kwa watanzania, pia aliweza kupata msaada kupitia jumuiya, kanisa likamlipia kodi na gharama za hapa na pale za mtoto wake.

Baada ya kushindwa kulipa ada kwa miezi kazan, Kituo cha Dodoma kikatoa amri mama amchukue mtoto arudi nae nyumbani. Kwa maelekezo kuwa ameshindwa kulipa ada ya kituo na pili mtoto ana umri wa miaka 12 hivyo amevuka umri wa kuendelea kukaa kituoni

Mtoto alirudi nyumbani. Mme wake Maria amemtelekeza kwa sababu ya kurudi na mtoto mlemavu nyumbani na kumuacha na mtoto wake wa kike. Baba katelekeza familia japo alijua kuwa Maria ana mtoto mlemavu

Taratibu za kutafuta kituo kingine.
Maria anazunguka Kutafuta kituo ambacho kitampokea mtoto wake. Ila kila kituo anachoenda, anakataliwa kwa kigezo cha mtoto kuwa na umri mkubwa au kituo kimejaa

Ameshaenda vituo vingi sana vikiwemo kigogo, kigamboni, mtoni mtongani, mbagala zakiemu ..... na vituo vingi ambavyo sivikumbuki kichwani.

Wazazi wake Maria ni wazee. Baba yake ni mlemavu wa macho haoni. Angeweza hata kumuacha mtoto na mama yake ili yeye apambane kutafuta riziki, ila nyumbani kuna changamoto imemuwia vigumu Kuwaachia mtoto ili yeye apambane kutafuta.

She is the bread winner for the family, despite with heavy load, her responsibility is beyond her shoulders can bear. So sad...

Msaada Husika:
Msaada anaoomba Maria ni wa mtoto wake kupata kituo cha kulea watoto walemavu.

Akitoka asubuhi kwenda kufanya kazi ya mama ntilie, inamlazimu amuache Charles nje mwenyewe mpaka anaporudi saa tisa mchana.

Maoni Yangu
Mazingira anayoishi sio rafiki kabisa kwa mtoto wake. Hawezi kubaki nyumbani kwa sababu ni single mother na anapambana kupata kula ya watoto wake wawili.

Huyu dada anapitia changamoto kubwa sana hususani anafanya kazi siku tano katika juma. Japo weekend anapata mda mzuri wa kukaa na watoto nyumbani.

Kwa mazingira anayoishi mtoto si ya standard za haki za kibinadamu. Kuna mda mtoto anatambaa chumbani kwake na kumwaga ndoo za maji.

Mtoto anaingiza vidole kwenye cable za umeme. Chumba anachoishi ni cha elfu 30, chumbq kimoja. Anaishi na watoto wake wote wawili.

Kula ya hawa watoto ni shida, analipwa elfu 5 na boss wake kwenye kazi za mama ntilie. Siku nyingine hupewa chakula na boss kwa watoto ila sio siku zote.

Briefly:
Msaada wa kituo cha kulea watoto walemavu, mtoto ambae hajitambui kabisa.

Pia unaweza mwelekeza kituo akaenda kuomba msaada zaidi hapo. Jitihada za ustawi wa jamii kumpatia kituo umekuwa wa longolongo nyingi

Number za simu za Maria: 0716018180

Mungu awabariki sana. .
 
Msaada wa kituo cha kulea watoto walemavu, mtoto ambae hajitambui kabisa.

Pia unaweza mwelekeza kituo akaenda kuomba msaada zaidi hapo. Jitihada za ustawi wa jamii kumpatia kituo umekuwa wa longolongo nyingi

Number za simu za Maria: 0716018180

Mungu awabariki sana. .
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Nimejikuta nalia sana, kuna watu wanapitia mateso makali.

Nendeni hata kwa mwenyekiti wa mtaa, suluhisho linaweza patikana hapo.
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Nimejikuta nalia sana, kuna watu wanapitia mateso makali.

Nendeni hata kwa mwenyekiti wa mtaa, suluhisho linaweza patikana hapo.
Kashafanya yote. Ameshaenda
1. Serikali za mitaa
2. Serikali ya mkoa, Makonda akiwa mkuu wa mkoa
3. Kwa Ustawi wa Jamii kata na makao makuu
4. Vituo kadhaa wa kadhaa Dar, Dodoma na Morogoro
5. Kanisani
6. Vyombo vya habari, ikiwemo Clouds
.....

Naomba ushauri zaidi ya hapa, nimeishiwa cha kumshauri.....
 
Kwa changamoto anazipitia huyu dada nina wasiwasi iko siku anaweza jiua.

Wanaume wamemkimbia wakijua ana mtoto mlemavu tu wanaona kama atawazalia mlemavu.

Kuna mshikaji alimwoa, kipindi mtoto yuko Dodoma. Mtoto aliporudishwa nyumbani jamaa akakimbia. Hawezi ishi chumba kimoja na mtoto mlemavu

Nilimshauri atafute dada wa kazi niwe namlopa monthly, waishi chumba kimoja amwangalie mtoto. Ila wafanyakazi hawataki kumhudumia kijana mkubwa aina yake, huku akiwa hajiwezi kwa lolote

Charles anajinyea na kujikojolea. Pampers ni gharama, na hawezi sema naenda haja.

Damu ni nzito kuliko maji. Kwa mambo anayopitia angekuwa mwingine ashamtekeleza mtoto.

Toka arudi nyumbani mtoto anakuwa ana react. Anaweza tafuna mbao ya kitanda. Akamwaga vitu ndani, akapiga kelele siku nzima....

Mazingira anayomlea mtoto sio rafiki wala hayakidhi. Akitoka asubuhi kupika kama ntilie hana wa kumuachia. Mtoto anakaa uwani hapo nyumba ya kupanga analambwa na inzi tu

Ni jambo la kuhuzunisha
 
Kashafanya yote. Ameshaenda
1. Serikali za mitaa
2. Serikali ya mkoa, Makonda akiwa mkuu wa mkoa
3. Kwa Ustawi wa Jamii kata na makao makuu
4. Vituo kadhaa wa kadhaa Dar, Dodoma na Morogoro
5. Kanisani
6. Vyombo vya habari, ikiwemo Clouds
.....

Naomba ushauri zaidi ya hapa, nimeishiwa cha kumshauri.....
Duuuh huko kote kakosa misaada? JAH asaidie kwa kweli.
[emoji22][emoji22][emoji22]
 
Pole na hongera Kuwa na moyo wenye UPENDO.

Ushauri wangu huu hapa.

Tufanye harambee tena ya kumchangia .

Pesa itakayopatikana Afanye biashara na huku akimlea mawanae asimpeleke katika vituo.

Na pia akubaliane na hali hiyo uku akishukuru kwa kila jambo analopitia.


Na mwisho naomba uwasiliane na Dr Issac Maro clouds FM umjuze hii habari na pia uwasiliane na Malisa GJ.

Tumchangie apate hata mil 20 ili Afungue biashara kubwa kiasi na hapo hapo apate mahitaji ya kumuhudumia mtoto.


Mungu akikupa mtihani ujue Ana namna yake ya kukufanikisha. Hivyo mama aachane na habari za kumpeleka mtoto vituoni huyo mtoto ni baraka amlee yeye Kama yeye.

✊🏿✊🏿✊🏿
 
Pole na hongera Kuwa na moyo wenye UPENDO.

Ushauri wangu huu hapa.

Tufanye harambee tena ya kumchangia .

Pesa itakayopatikana Afanye biashara na huku akimlea mawanae asimpeleke katika vituo.

Na pia akubaliane na hali hiyo uku akishukuru kwa kila jambo analopitia.


Na mwisho naomba uwasiliane na Dr Issac Maro clouds FM umjuze hii habari na pia uwasiliane na Malisa GJ.

Tumchangie apate hata mil 20 ili Afungue biashara kubwa kiasi na hapo hapo apate mahitaji ya kumuhudumia mtoto.


Mungu akikupa mtihani ujue Ana namna yake ya kukufanikisha. Hivyo mama aachane na habari za kumpeleka mtoto vituoni huyo mtoto ni baraka amlee yeye Kama yeye.

[emoji1535][emoji1535][emoji1535]
Umenena kabisaaa!!
 
Wasalaam

Kuna jambo linamiumiza kichwa nimeshindwa hata kulala usiku huu nikaona niwashirikishe humu

Historia ya Charles David
Mtoto huyu ambae nimepata kufahamiana na mama yake kwa zaidi ya miaka 7 hivi. Kwa majina anaitwa Charles David. Hakuzaliwa na ulemavu, alipata ulemavu wa mwili na akili baada ya kuumwa degedege akiwa na miezi saba.

Baba yake mtoto ni teja teja wa madawa ya kuleva na mwizi mzoefu. Baba huyu hajawahi kuwa msaada kwa mtoto toka aingie kwenye madawa ya kulevya
Mtoto pichani soon anafikisha miaka 15👇

View attachment 3042602

Kufahamiana na mama yake.
Nimefahamiana na mama mtoto tokea mwaka 2016. Anaitwa Maria.

Mtoto alipat kwend kituo cha walemavu masista Dodoma. Kipindi hiki uwezo wangu ulikuwa mzuri kifedha ada ilikuwa 130,000 kwa mwezi, ambapo nilikuwa namlipia mtoto ada ya kituo hapo Dodoma

Maria alikuja kuolewa na kupata mtoto wa pili wa kike.

Mwaka juzi baada ya kupitia changamoto mbalimbali za kifedha ikiweno mikopo bank nikashindwa kumgharamia mtoto. Hivyo kukawa na malimbikizo ya ada hapo kituoni

Mbali na mimi kumlipia mtoto Maria alishawahi kwenda clouds fm akapewa air time na kuweza kuomba msaada kwa watanzania, pia aliweza kupata msaada kupitia jumuiya, kanisa likamlipia kodi na gharama za hapa na pale za mtoto wake.

Baada ya kushindwa kulipa ada kwa miezi kazan, Kituo cha Dodoma kikatoa amri mama amchukue mtoto arudi nae nyumbani. Kwa maelekezo kuwa ameshindwa kulipa ada ya kituo na pili mtoto ana umri wa miaka 12 hivyo amevuka umri wa kuendelea kukaa kituoni

Mtoto alirudi nyumbani. Mme wake Maria amemtelekeza kwa sababu ya kurudi na mtoto mlemavu nyumbani na kumuacha na mtoto wake wa kike. Baba katelekeza familia japo alijua kuwa Maria ana mtoto mlemavu

Taratibu za kutafuta kituo kingine.
Maria anazunguka Kutafuta kituo ambacho kitampokea mtoto wake. Ila kila kituo anachoenda, anakataliwa kwa kigezo cha mtoto kuwa na umri mkubwa au kituo kimejaa

Ameshaenda vituo vingi sana vikiwemo kigogo, kigamboni, mtoni mtongani, mbagala zakiemu ..... na vituo vingi ambavyo sivikumbuki kichwani.

Wazazi wake Maria ni wazee. Baba yake ni mlemavu wa macho haoni. Angeweza hata kumuacha mtoto na mama yake ili yeye apambane kutafuta riziki, ila nyumbani kuna changamoto imemuwia vigumu Kuwaachia mtoto ili yeye apambane kutafuta.

She is the bread winner for the family, despite with heavy load, her responsibility is beyond her shoulders can bear. So sad...

Msaada Husika:
Msaada anaoomba Maria ni wa mtoto wake kupata kituo cha kulea watoto walemavu.

Akitoka asubuhi kwenda kufanya kazi ya mama ntilie, inamlazimu amuache Charles nje mwenyewe mpaka anaporudi saa tisa mchana.

Maoni Yangu
Mazingira anayoishi sio rafiki kabisa kwa mtoto wake. Hawezi kubaki nyumbani kwa sababu ni single mother na anapambana kupata kula ya watoto wake wawili.

Huyu dada anapitia changamoto kubwa sana hususani anafanya kazi siku tano katika juma. Japo weekend anapata mda mzuri wa kukaa na watoto nyumbani.

Kwa mazingira anayoishi mtoto si ya standard za haki za kibinadamu. Kuna mda mtoto anatambaa chumbani kwake na kumwaga ndoo za maji.

Mtoto anaingiza vidole kwenye cable za umeme. Chumba anachoishi ni cha elfu 30, chumbq kimoja. Anaishi na watoto wake wote wawili.

Kula ya hawa watoto ni shida, analipwa elfu 5 na boss wake kwenye kazi za mama ntilie. Siku nyingine hupewa chakula na boss kwa watoto ila sio siku zote.

Briefly:
Msaada wa kituo cha kulea watoto walemavu, mtoto ambae hajitambui kabisa.

Pia unaweza mwelekeza kituo akaenda kuomba msaada zaidi hapo. Jitihada za ustawi wa jamii kumpatia kituo umekuwa wa longolongo nyingi

Number za simu za Maria: 0716018180

Mungu awabariki sana. .
Duuh Pole mkuu 😐😭😭😢😢
 
Back
Top Bottom