rommy shabby
JF-Expert Member
- Jun 26, 2017
- 1,123
- 1,302
Sawa mkuuGharama za kusafirisha zinategemea unainunua kutoka wapi. Cha kufanya, wasiliana na muuzaji, atakwambia kwa address yako itamgharimu kiasi gani kukutumia.
Nenda uganda kule bei nafuu sanaila kuhusu ushuru sijui
Nyingi sana tena hazina bei kubwa,Mkuu unasema Uganda piki piki kama hizo zipo nyingi tu sio?
Sent from my iPhone using JamiiForums