Msaada wa kuagiza vitu kutoka Kenya

Msaada wa kuagiza vitu kutoka Kenya

Bei ya aliexpress na store ya kenya zina differ almost 20k shiping ikiwa excluded , na zingatia hakuna store ilio na redmi note 10 pro kwa kenya thou kwa page wamepost ziko out off stock now .Hii ni taarifa toka jikoni .Na pia note 10 pro kenya haiuzwi laki tano

So Note 10 za kawaida zipo?
 
Bado muafaka haujapatikana tunasubiri wengi
 
Back
Top Bottom