Mkuu cheki huu uzi.habari wakuu
nimewahi kuagiza simu kupita aliexpress lakini sikufanikiwa baada ya wahuni kuamua kupita nayo,niliwauliza posta wakadai imeibiwa ilipofika airport,haikua tabu coz nilirudishiwa hela yangu na aliexpess.
sasa wakuu mnisaidie jamani maana kama mnavyojua cm nje bei chee,apa nataka niagize tenaa ila kigugumizi cha kuibiwa tena kinanikwamisha ,naombeni mawazo yenu jamani kama kuna option nyingine safe zaidi ya hii ya kuagiza kawaida kupitia posta mnisaidie
CC; Mwl.Rcthabari wakuu
nimewahi kuagiza simu kupita aliexpress lakini sikufanikiwa baada ya wahuni kuamua kupita nayo,niliwauliza posta wakadai imeibiwa ilipofika airport,haikua tabu coz nilirudishiwa hela yangu na aliexpess.
sasa wakuu mnisaidie jamani maana kama mnavyojua cm nje bei chee,apa nataka niagize tenaa ila kigugumizi cha kuibiwa tena kinanikwamisha ,naombeni mawazo yenu jamani kama kuna option nyingine safe zaidi ya hii ya kuagiza kawaida kupitia posta mnisaidie
Nzuri hiyo.I rather choose to be risk taker
hahahahah eti miafrika,mkuu acha tu yani saivi ningekua na xiaomi yangu safi kabisa ila kutokana na miafrika fulani bado nasota na katecno uchwara tuTatizo Miafrika Michache ni mijizi, ila mimi nimenunua vitu vingi tu kupitia AliExpress na havijawahi kupotea
Mkuu hakuna watu wezi tanzania hii kama watu wa posta kama una mpango wa kiagiza simu, laptop, saa etc majamaa wanafungua wanachungulia wakipenda wanaiba mimi walishaniliza nimefatilia nikakuta ni watu wengi sana nao wamelizwa. Cha msingi mkuu kabla hujaagiza chochote tafuta kwanza connection pale ya uhakika uwe una mpa progress yote ya mzigo wako la siivyo utalizwa tena na tena
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu hakuna watu wezi tanzania hii kama watu wa posta kama una mpango wa kiagiza simu, laptop, saa etc majamaa wanafungua wanachungulia wakipenda wanaiba mimi walishaniliza nimefatilia nikakuta ni watu wengi sana nao wamelizwa. Cha msingi mkuu kabla hujaagiza chochote tafuta kwanza connection pale ya uhakika uwe una mpa progress yote ya mzigo wako la siivyo utalizwa tena na tena
Sent from my iPhone using JamiiForums
Cha muhimu ni kuwa there is money back guaratee in case you won't receive your item..
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu ile iphone 6 yako bado unayo mpk leo?
kabisa mkuu yani saivi ndo nataka nifanye hivyoMkuu hakuna watu wezi tanzania hii kama watu wa posta kama una mpango wa kiagiza simu, laptop, saa etc majamaa wanafungua wanachungulia wakipenda wanaiba mimi walishaniliza nimefatilia nikakuta ni watu wengi sana nao wamelizwa. Cha msingi mkuu kabla hujaagiza chochote tafuta kwanza connection pale ya uhakika uwe una mpa progress yote ya mzigo wako la siivyo utalizwa tena na tena
Sent from my iPhone using JamiiForums
mh hiyo ni bahati yako tu mkuu ,yaaani wanaiba vibaya mnoMimi toka nimeanza kuagiza sijawahi pata shida yoyote hii ndiyo nimeagiza mwezi uliopitaView attachment 987129
Sent using Jamii Forums mobile app