Mko mkoa gani?.... Mnataja ihusike na nini hasa?.. What are the profesion of the other members?Habari wadau!
Baada ya kujadiliana na wadau mbalimbali tukiwa kama watu 10, tumepata wazo la kuanzisha firm ya Consultation.
Nimekuja kwenu kuomba ushauri katika uanzishwaji wa kitu kama hiki,
1. Nini cha muhimu cha kuzingatia kabla ya kuanzisha firm/mahitaji.
2. Changamoto za firm kama hizi zenye watu zaidi mmoja na jinsi ya kukabaliana nazo kuanzia Management nk, maana leo tunataka kukaa kikao cha kwanza.
NB: Sizungumzii kuhusu usajili BRELA.
Proffessional yotote au baadhi ya proffessional?Kwa uelewa wangu mdogo kwa professional yetu Ili uanzishe consultation firm lazima kwanza uwe registered as consultant na regulatory body
Anyway Ngoja wajuzi waje