Msaada wa kuanzisha consultation firm

Msaada wa kuanzisha consultation firm

Lamkyeku

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2014
Posts
494
Reaction score
663
Habari wadau,

Baada ya kujadiliana na wadau mbalimbali tukiwa kama watu 10, tumepata wazo la kuanzisha Firm ya Consultation.

Nimekuja kwenu kuomba ushauri katika uanzishwaji wa kitu kama hiki.

1. Nini cha muhimu cha kuzingatia kabla ya kuanzisha firm/mahitaji.
2. Changamoto za firm kama hizi zenye watu zaidi mmoja na jinsi ya kukabaliana nazo kuanzia Management nk, maana leo tunataka kukaa kikao cha kwanza.

NB: Sizungumzii kuhusu usajili BRELA.
 
Habari wadau!

Baada ya kujadiliana na wadau mbalimbali tukiwa kama watu 10, tumepata wazo la kuanzisha firm ya Consultation.

Nimekuja kwenu kuomba ushauri katika uanzishwaji wa kitu kama hiki,

1. Nini cha muhimu cha kuzingatia kabla ya kuanzisha firm/mahitaji.
2. Changamoto za firm kama hizi zenye watu zaidi mmoja na jinsi ya kukabaliana nazo kuanzia Management nk, maana leo tunataka kukaa kikao cha kwanza.

NB: Sizungumzii kuhusu usajili BRELA.
Mko mkoa gani?.... Mnataja ihusike na nini hasa?.. What are the profesion of the other members?
 
Mko mkoa gani?.... Mnataja ihusike na nini hasa?.. What are the profesion of the other members?
Mkoa wa Dar Es Salaam, Itahusika na GIS and Remote sensing, we are all of the same profession.
 
Kwa uelewa wangu mdogo kwa professional yetu Ili uanzishe consultation firm lazima kwanza uwe registered as consultant na regulatory body
Anyway Ngoja wajuzi waje
 
Kuna body ya ma consultant tafuta address yao ukawaone.
 
Kwa uelewa wangu mdogo kwa professional yetu Ili uanzishe consultation firm lazima kwanza uwe registered as consultant na regulatory body
Anyway Ngoja wajuzi waje
Proffessional yotote au baadhi ya proffessional?
 
Back
Top Bottom