kikoozi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2015
- 2,094
- 3,108
Habari za muda huu ndugu zangu,
naombeni msaada wenu, nimenunua nyumba mwezi mmoja sasa hapa jijini dar es salaam, mita ya maji na lukuya umeme inasoma majina ya mwenye nyumba wa zamani (ambaye ameniuzia mimi), nilikuwa naomba utaratibu wa kufata ili niweze kubadili majina pamoja na namba ya simu ili niwe naweza kumenage mimi mwenyewe. Na naomba kujua atua zote izo zinghalimu kiasi gani na zinachukua muda gani, ili nitegene muda wa kufanya ayo yote maana nimekuwa ni mtu wa kusafiri sana .
Natanguliza shukrani zangu kwenu wadau
naombeni msaada wenu, nimenunua nyumba mwezi mmoja sasa hapa jijini dar es salaam, mita ya maji na lukuya umeme inasoma majina ya mwenye nyumba wa zamani (ambaye ameniuzia mimi), nilikuwa naomba utaratibu wa kufata ili niweze kubadili majina pamoja na namba ya simu ili niwe naweza kumenage mimi mwenyewe. Na naomba kujua atua zote izo zinghalimu kiasi gani na zinachukua muda gani, ili nitegene muda wa kufanya ayo yote maana nimekuwa ni mtu wa kusafiri sana .
Natanguliza shukrani zangu kwenu wadau