Hiphop
Member
- Jul 17, 2010
- 51
- 7
Habari za shughuli wadau!
Ninahitaji kujua procedure ninazoweka kufuata ili kuweza kutumia modem moja kwa line tofauti. Mfano kwa sasa ninatumia modem ya vodafone yenye line ya voda, sasa nahitaji kutumia modem hiyo hiyo kwa line ya air tel, tigo na zantel, je inawezekana?kama ndio procedure ni zipi?
Ahsanteni!
Ninahitaji kujua procedure ninazoweka kufuata ili kuweza kutumia modem moja kwa line tofauti. Mfano kwa sasa ninatumia modem ya vodafone yenye line ya voda, sasa nahitaji kutumia modem hiyo hiyo kwa line ya air tel, tigo na zantel, je inawezekana?kama ndio procedure ni zipi?
Ahsanteni!