kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,239
Juzi mchana ameanza kuona damu kama zinabeep ilitoka mara moja ikatoka tena jana hasubuhi. Je inawezeka mimba imeharibika??
Pia anasikia maumivu ya makali ya kiuno, tumbo pamoja na matiti kumuuma. Huyu ni dada ambaye yupo bed rest mwenye ujauzito wa miezi mitatu. Naombeni majibu kwa wenye uelewa.
Cc MziziMkavu
Pia anasikia maumivu ya makali ya kiuno, tumbo pamoja na matiti kumuuma. Huyu ni dada ambaye yupo bed rest mwenye ujauzito wa miezi mitatu. Naombeni majibu kwa wenye uelewa.
Cc MziziMkavu