Mimi, mtoto wangu mmoja wa kike na wadogo zangu wote wanne ni group 0+. Tatizo kubwa ni kuwa mafua ni tatizo kubwa mno kwetu, yaani yanatusumbua mno hadi mtu unalala, lakini magonjwa mengine kama malaria kwetu tunamshukuru Mungu hayatusumbui. Ningependa madktari mnisaidie kujua mambo haya:
Ina maana group hili kwenye virusi vya mafua liko WEAK SANA? au Virusi vya malaria viko WEAK SANA kwa group hili?
Naomba majibu yenu watalaamu,
Natanguliza shukrani zangu.