Nyuma huko kuna password na ssid ya hyo network tumia ku connect na wifi ya kifaa chako
Jwa usb tethering ingia this pc
Baada ya local dsk c: kuna hyo ipo hapo hyo mifi inaweza ikawa na letter d: au e: double click then fanya installation kwa kufata utaratbu then baada ya hapo itqconnect yenyew
Haitakuwa na haja ya kurudia process ni one time only