Msaada wa kufungua Travel Agent kampani

Old Member (Retired)

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
3,401
Reaction score
1,610
Ninataka kufungua Travel Agent kampani ambayo itakuwa inahusika na kufanyia watu booking za airticket, booking za hotel, kukodi magari pamoja na safari kuandaa trip mbali mbali kama kwenda Arusha, Zanziba nk

Ningependa kufahamu:
1. Ni jinsi gani naweza kuwa travel agent wa ndege za hapa nchini, kama fastjet, precision air pamoja na ndege ndogo ndogo? na mkataba wao upoje unapata asilimia ngapi ya ticket?
2. Kwa ndege za nje ya nchi pia utaratibu upoje, kama KLM, Quartar, Turkish, fly emirates nk?
3. Kwenye hotels pia utaratibu upoje?
4. Je, kuna vigezo vyovyote kuhusiana na mtaji? kwamba lazima kampuni yako we na mtaji kiasi fulani?
4. Biashara hii ina changamoto zipi?

Shukrani kwenu wadau.
 
How to Open a Travel Agent Business The travel industry has grown at a steady pace in recent years and is highly desirable to many people because of relaxed working conditions and excellent travel discounts. If you do not have a college degree with a specialization in travel and tourism, you will need to complete a training certification course. Courses are offered through many universities as well as online. Once you have your certification, you can get started. Step 1 Establish a place of business. The office location needs to be in a high-traffic area of town to help establish a strong presence. It also needs to be large enough for another agent in case your business expands. Make sure the property is wired for high-speed Internet and multi-line telephones; both are business essentials. Step 2 Acquire office equipment (computers, printers, fax, and scanner) and a payment processing equipment. Many customers today prefer to pay for travel expenses with credit or debit cards. You will need a card merchant account to accept these payments. Related Reading: Travel Agency Business Requirements Step 3 Have a custom sign made for your place of business that displays the name of your agency and telephone number. Most of your customers will be walk-ins, so an attractive sign is important. Step 4 Contact your local licensing agency to acquire any type of business license you may need to operate within the jurisdiction. Most states do not have specific licenses for travel agents, but you will need a general license to do business in your municipality. Step 5 Obtain errors and omissions insurance coverage. This coverage is important because it protects you from liability in case a booking doesn't go as planned. Most insurance agents offer errors and omissions, so contact a local agent to set it up. Step 6 Contact airlines, hotels and cruise lines to obtain contracts to offer their services. You will need to present your travel and tourism certificate or degree to obtain these contracts. Things Needed Office location Office equipment Business license Travel and Tourism certificate or degree Tips Working for an agency before starting your travel business will help you gain experience and assist you in opening your own agency. Get in touch with local finance companies to work out a referral program. Offering on-site financing for travel can be a great way to boost bookings. Warning Don't go for a location too large; you can always accommodate your business as it expands. A smaller location will help keep expenses down while you build your clientele.
 
Sitaki kukupinga ila kwa kazi ulizo ziweka hapo ni kama tour operator nazani ni vyema ukafungua tour operator ambapo ndani yake uwe na kitengo cha travel agency manake kiuhalisia travel agent yeye ni kama mtu wa kati ana nunua bidhaa toka kwa mzalishaji ambaye anaweza akawa hoteli ya kitalii, tour guide etc.... arafu anaenda uza kwa final consumer au tourist... na analipwa commission ila hana ruksa ya kuongoza watalii kupeleka kwenye vivutio ukiona wana fanya hivyo kuna mawili au laah wana tour operator ndani ya kampuni yao au wana fanya kimakosa wana pindisha sheria ni mtazamo tuu
 

Usimchanganye mwezio ,travel agent anaweza kubook hotel ,na kukukodishia gari
 

Qatar na sio Quartar
 
Emirates, sio fly emirates.
 
Kumbe supu ya mawe kuna muda una hakili timamu na wakati mwingine zinaruka
 
Jaribu kwanza kusomea mambo hayo ili ujue kwanza sheria zake za IATA/UFTAA
 
Asante Kwameh , unalolote kuhusiana na topic husika?
hata hilo nililosema linahusiana na topic husika, huwezi kufungua travel services halafu huwezi kuandika majina ya ndege za Emirates wala Qatar. Ndio maana Wakenya wanatushinda kwenye nyanja ya utalii kwa vitu vidogo vidogo vidooooo.....
 
Msimkatishe tamaa.
Sio wamiliki wote wenye hizi Agencies wamesomea.
Bakhressa ana biashara nyingi sana na kama ingekuwa kusomea zote basi kazi angekuwa nayo.
Kuna watu wengie tunawajua wana makampuni ya Clearing and forwarding,Pharmacies etc lakini hawakusomea kozi hizo.

Sala ni kwamba mhusika,atumie wataalam wa fani hiyo wampe njia then yeye aingize mtaji kwenye hiyo biashara.Kisha baada ya muda na yeye ata kop kwenye utendaji wa biashara.

Halafu ninegomba tufaham kwamba Nature ya ufaham wa elim ya utalii kwa ujumla ina point kwamba sio kila anaefaham alienda shule na sio kila utakalo kulifaham lazima uende chuo.Kuna part unaendana na mazingira.Mungu katuumba tofauti sana,kuna watu wanavichwa vya ajabu sana katika uelewa na wengine wamo kwenye maofisi makubwa sana lakini ukisoma CV yake unaweza kuanguka ilivyo hovyo,lakini kwenye utendaji wake na uelewa wake utampa Salute.

Mie namshauri asipoteze muda kwanza kwenda Kusomea,atafute mtu mwenye taaluma hiyo na ambae ameishafanyakazi hiyo,kisha yeye akiona sawa aingize mtaji huku yeye akiwa kama Mmiliki na sio mtendaji.Yote yanawezekana.
Kisha baada ya muda yeye afanye inhouse training ili iwe rahisi kujua biashara yake kwa kiasi fulani.
 
Travel agent ni biashara inayokufa. Watu wanafunga maofisi ya travel agent kutokana na kukua kwa technolojia. Watu wana book ndege kupitia simu, internet n.k.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…