DZUDZUKU JF-Expert Member Joined Nov 8, 2012 Posts 3,909 Reaction score 2,115 Mar 22, 2014 #21 mzungu pori said: yeye anaxema 2livokutana kesho yake ndo akaona cku zake kwamfano leo 2mekutana alafu kesho ndo akaona cku zake Click to expand... Kwa maelezo hayo nakudanganya huyo, hakuna mimba inayo tengenezwa wakati yai na endometrium zimetoka (bleeding) Mwambie akajipange upya, atambue mwenye nayo ni nani, kama vp mkapime ultrasound ni 20000 tu kama upo Mwananyamala.
mzungu pori said: yeye anaxema 2livokutana kesho yake ndo akaona cku zake kwamfano leo 2mekutana alafu kesho ndo akaona cku zake Click to expand... Kwa maelezo hayo nakudanganya huyo, hakuna mimba inayo tengenezwa wakati yai na endometrium zimetoka (bleeding) Mwambie akajipange upya, atambue mwenye nayo ni nani, kama vp mkapime ultrasound ni 20000 tu kama upo Mwananyamala.
B Benokolongokonongose JF-Expert Member Joined Jun 25, 2012 Posts 213 Reaction score 52 Mar 22, 2014 #22 Kwangu mtu akiandika x kumaanisha s namuona awawatia kabisa,lol! Hizi peleka facebook, hi5, palmchat nk.
Kwangu mtu akiandika x kumaanisha s namuona awawatia kabisa,lol! Hizi peleka facebook, hi5, palmchat nk.
DOKEZO JF-Expert Member Joined Jan 17, 2014 Posts 322 Reaction score 496 Mar 22, 2014 #23 acha niwadokezee huyu mzungu pori ni kijana wa kule facebook n.k hivyo achaneni nae ni kijana mdogo asiwasumbue.ameandika tu ili nae awe na thread.
acha niwadokezee huyu mzungu pori ni kijana wa kule facebook n.k hivyo achaneni nae ni kijana mdogo asiwasumbue.ameandika tu ili nae awe na thread.