Msaada wa kujua manukato mazuri

Kwa madem ndo usiulize mana weng wao wanapenda Harufu nzur, wamekua wakiniuliza sana jina la Unyunyu [emoji3]
ahaaa, usitoe siri, kama tulivyoelewana kwenye kako cha wanaume
 
Kwa madem ndo usiulize mana weng wao wanapenda Harufu nzur, wamekua wakiniuliza sana jina la Unyunyu [emoji3]
usitoe siri, wafanye waendelee kukuona unique hadi siku ya mwishoo
 
Ndo manake mkuu, Cjapata ya kununua gari bado kamanda [emoji3]
Sasa ukisitisha kununua huo unyunyu kwa mwaka mmoja si unavuta Brevis tena namba D kiongozi? Halafu unarudi zako kwenye unyunyu wako wa laki nane huku na mademu wakali ukiwang'oa kiulauni na kuwagongea humo humo ili kusevu pesa ya guest?? Ila ikiamua kwenda kuwagongea coco beach gari hakikisha umeweka hand brake na mawe kwenye matairi [emoji12][emoji12][emoji12]
 
ahaaa yani wewe bhana.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] umetisha kamanda
 
Unaitwaje huo unyunyu?
 
Hata usisononeke ndugu yangu ,hiyo creed Kwa harufu iyoiyo unaweza ipata mwenge ,wanapimaa ata ya elfu kumi, ukitaka.ya kukaa mwezi unaipimiwa Kwa 35tu, life is simple[emoji1787]
[emoji3][emoji3] Asisononeke sana au vipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…