Msaada wa kujua manukato mazuri

Msaada wa kujua manukato mazuri

Kwa madem ndo usiulize mana weng wao wanapenda Harufu nzur, wamekua wakiniuliza sana jina la Unyunyu [emoji3]
ahaaa, usitoe siri, kama tulivyoelewana kwenye kako cha wanaume
 
Kwa madem ndo usiulize mana weng wao wanapenda Harufu nzur, wamekua wakiniuliza sana jina la Unyunyu [emoji3]
usitoe siri, wafanye waendelee kukuona unique hadi siku ya mwishoo
 
Ndo manake mkuu, Cjapata ya kununua gari bado kamanda [emoji3]
Sasa ukisitisha kununua huo unyunyu kwa mwaka mmoja si unavuta Brevis tena namba D kiongozi? Halafu unarudi zako kwenye unyunyu wako wa laki nane huku na mademu wakali ukiwang'oa kiulauni na kuwagongea humo humo ili kusevu pesa ya guest?? Ila ikiamua kwenda kuwagongea coco beach gari hakikisha umeweka hand brake na mawe kwenye matairi [emoji12][emoji12][emoji12]
 
Sasa ukisitisha kununua huo unyunyu kwa mwaka mmoja si unavuta Brevis tena namba D kiongozi? Halafu unarudi zako kwenye unyunyu wako wa laki nane huku na mademu wakali ukiwang'oa kiulauni na kuwagongea humo humo ili kusevu pesa ya guest?? Ila ikiamua kwenda kuwagongea coco beach gari hakikisha umeweka hand brake na mawe kwenye matairi [emoji12][emoji12][emoji12]
ahaaa yani wewe bhana.
 
Sasa ukisitisha kununua huo unyunyu kwa mwaka mmoja si unavuta Brevis tena namba D kiongozi? Halafu unarudi zako kwenye unyunyu wako wa laki nane huku na mademu wakali ukiwang'oa kiulauni na kuwagongea humo humo ili kusevu pesa ya guest?? Ila ikiamua kwenda kuwagongea coco beach gari hakikisha umeweka hand brake na mawe kwenye matairi [emoji12][emoji12][emoji12]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] umetisha kamanda
 
Kuna moja nilipewa zawadi nilipoendaga nje huko nikarudi nayo yaani unafua nguo alafu yale maji ya kusuuzia unaichukua unamiminina cc3 mle kwenye maji alafu nguo unaanika bila kukamua asee zikikauka huo unyunyu utadhani chupa ulipasukia huko kwenye karai

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaitwaje huo unyunyu?
 
Hata usisononeke ndugu yangu ,hiyo creed Kwa harufu iyoiyo unaweza ipata mwenge ,wanapimaa ata ya elfu kumi, ukitaka.ya kukaa mwezi unaipimiwa Kwa 35tu, life is simple[emoji1787]
[emoji3][emoji3] Asisononeke sana au vipi
 
Back
Top Bottom