michael nyalusi
Member
- Jul 19, 2013
- 38
- 21
Kwa yeyote mwenye uzoefu na biashara hii, kama anaweza kuwasiliana na mimi kwa nambari 0712 464 666 sio mbaya.
Napenda kujua aina ya mninga inauzwaje dar es salaam kwa bei ya jumla ili ikiwezekana nilete mzigo hapo dar au mahala kwingine kwokote.
Napenda kujua aina ya mninga inauzwaje dar es salaam kwa bei ya jumla ili ikiwezekana nilete mzigo hapo dar au mahala kwingine kwokote.