masanda
New Member
- Jan 9, 2025
- 1
- 0
Habarini.
Nina hitaji mtu yeyote anayeoma archeology hasa UDSM au chuo kingine.
Pia kama unamjua mwalimu anayefundisha somo hilo pia naomba mawasiliano yake.
Sababu ni kwamba nina mabaki ya mnyama (sijajua kama ni binadamu au la) ambayo niliyapata chini ya ardhi umbali wa futi 80 nilipokuwa ninachinba kisima.
Hivyo nahitaji kushirikiana nao ili kufanya utafiti zaidi.
Nina hitaji mtu yeyote anayeoma archeology hasa UDSM au chuo kingine.
Pia kama unamjua mwalimu anayefundisha somo hilo pia naomba mawasiliano yake.
Sababu ni kwamba nina mabaki ya mnyama (sijajua kama ni binadamu au la) ambayo niliyapata chini ya ardhi umbali wa futi 80 nilipokuwa ninachinba kisima.
Hivyo nahitaji kushirikiana nao ili kufanya utafiti zaidi.