0767854945
Member
- Jul 5, 2013
- 74
- 2
Ushindi sanga kasoma thomas more namba ya shule ni s1518
je LUKA ZAKAYO ???? yeye alisoma karangai Sec
Naomba mniangalizie Issiaka yasini na Ramadhan shabani wametoka mkalamo namba ya shule ni s1369.
Ahsante mkuu.ISSIAKA YASINI anakwenda LUGOBA PCM, Ramadhan Shabani NYERERE (MWANGA) HGK.
Kila la kheri wadogo zetu mkasome kwa bidii.
Naomba mni angalizie Japhet Daud Masalu kamaliza Azania msaada wenu wakuu
Naomba mniangalizie KELVIN LAZARO CHINJA kasomea ngongongare
Niangalizieni hamisi mkeya shule bara
Kuna mtu anaitwa Japhet Masalu na shule aliyosoma siyo Azania kasoma ILOLA yeye kachaguliwa DIT kozi ya LAB sasa sijui ndiye yeye huyo?
Kuna mtu anaitwa Japhet Masalu na shule aliyosoma siyo Azania kasoma ILOLA yeye kachaguliwa DIT kozi ya LAB sasa sijui ndiye yeye huyo?
Jaman nisaidien kwa kuntafutia hawa ndugu SHAIDU AHMADA , ROMWARD RICHARD ,MAKILINA MUGURA,