Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 604
- 218
Samahanini wakuu, hivi hakuna njia za online za kuongeza kipato chako ukiachana na kubet?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaaan cyo utani sasa mm kina nichanganya nipo chuo harafu mishe hakuna nilikuwa nategemea kuuza vitu USED hasa hv jamaa alikuwa ananiuzia ana matatzo daaah nipo hoiPesa ngumu wee isikie tu hakuna kitu rahisi kama huku online ni kujilisha upepo tu. Labda ujifunze utapeli wa mtandaoni.
Ngoja tuwasubiri.
Pesa ngumu wee isikie tu hakuna kitu rahisi kama huku online ni kujilisha upepo tu. Labda ujifunze utapeli wa mtandaoni.
Ngoja tuwasubiri.
Acha tu jamanMie nawasomaga hao wenye biashara za online weee...ukweli ubongo wangu ushaniambia oya wewe huku hufai[emoji124][emoji124]