Msaada wa kupata chuo cha afya

Msaada wa kupata chuo cha afya

Joined
Mar 4, 2013
Posts
93
Reaction score
9
Ndugu wana JF,,
Naomba kupata msaada wenu kuhusu vyuo vya serikali vinavyotoa diproma ya afya(Crinical Officer) hapa Tanzania.Kuhusu ufahulu wangu nilimaliza form six mwaka jana nina div (ii) ya 12 nilichaguliwa UDSM kusoma Education ila sikuweza kwenda kwani niliona hiyo fan hainifahi nikaamua nitulie mtaani nisubilie niweze kupata ile kitu roho inapenda.....kuhusu kuapply mwaka nina mpango mda ukifika kujarib bahati ya Doctor of Medicine...NSAADA WENU JAMAN:A S thumbs_up:
 
Ndugu wana JF,,
Naomba kupata msaada wenu kuhusu vyuo vya serikali vinavyotoa diproma ya afya(Crinical Officer) hapa Tanzania.Kuhusu ufahulu wangu nilimaliza form six mwaka jana nina div (ii) ya 12 nilichaguliwa UDSM kusoma Education ila sikuweza kwenda kwani niliona hiyo fan hainifahi nikaamua nitulie mtaani nisubilie niweze kupata ile kitu roho inapenda.....kuhusu kuapply mwaka nina mpango mda ukifika kujarib bahati ya Doctor of Medicine...NSAADA WENU JAMAN:A S thumbs_up:

....jaribu na MATC-Tanga
 
Ndugu wana JF,,
Naomba kupata msaada wenu kuhusu vyuo vya serikali vinavyotoa diproma ya afya(Crinical Officer) hapa Tanzania.Kuhusu ufahulu wangu nilimaliza form six mwaka jana nina div (ii) ya 12 nilichaguliwa UDSM kusoma Education ila sikuweza kwenda kwani niliona hiyo fan hainifahi nikaamua nitulie mtaani nisubilie niweze kupata ile kitu roho inapenda.....kuhusu kuapply mwaka nina mpango mda ukifika kujarib bahati ya Doctor of Medicine...NSAADA WENU JAMAN:A S thumbs_up:

Unaweza weka matokeo yako ya kila somo tafadhali?
 
Ndugu wana JF,,
Naomba kupata msaada wenu kuhusu vyuo vya serikali vinavyotoa diproma ya afya(Crinical Officer) hapa Tanzania.Kuhusu ufahulu wangu nilimaliza form six mwaka jana nina div (ii) ya 12 nilichaguliwa UDSM kusoma Education ila sikuweza kwenda kwani niliona hiyo fan hainifahi nikaamua nitulie mtaani nisubilie niweze kupata ile kitu roho inapenda.....kuhusu kuapply mwaka nina mpango mda ukifika kujarib bahati ya Doctor of Medicine...NSAADA WENU JAMAN:A S thumbs_up:

Nimeipenda idea yako mkuu! Vp hukusoma pcb nini advance
 
mbona kuna jamaa namfahamu yuko pale KCMC anachukua MD na alikuwa na div.three kama ulichukua PCB two unapata vyuo vingi tu Bugando,KCMC,ST.John nk,au unataka vyuo vya serikali tu.
 
Anataka kozi ya Clinical Officer (Diploma in Clinical Medicine) naona wadau wanamshauri aende Muhas, KCMC, Bugando; hiyo kozi kwenye hivyo vyuo hakuna jamani, hivyo ni vinatoa degree siyo diploma, mtendeeni haki mtoa mada. Mi nadhani kwa kozi hiyo unatuma maombi wizara ya afya halafu wao wanakupangia ktk moja ya vyuo vyao, vipo vingi tu

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Anataka kozi ya Clinical Officer (Diploma in Clinical Medicine) naona wadau wanamshauri aende Muhas, KCMC, Bugando; hiyo kozi kwenye hivyo vyuo hakuna jamani, hivyo ni vinatoa degree siyo diploma, mtendeeni haki mtoa mada. Mi nadhani kwa kozi hiyo unatuma maombi wizara ya afya halafu wao wanakupangia ktk moja ya vyuo vyao, vipo vingi tu

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Ungetaja hata chuo kimoja cha serikali mkuu!!!!
 
Back
Top Bottom