HACHOKI TALEMWA
Member
- Mar 4, 2013
- 93
- 9
Ndugu wana JF,,
Naomba kupata msaada wenu kuhusu vyuo vya serikali vinavyotoa diproma ya afya(Crinical Officer) hapa Tanzania.Kuhusu ufahulu wangu nilimaliza form six mwaka jana nina div (ii) ya 12 nilichaguliwa UDSM kusoma Education ila sikuweza kwenda kwani niliona hiyo fan hainifahi nikaamua nitulie mtaani nisubilie niweze kupata ile kitu roho inapenda.....kuhusu kuapply mwaka nina mpango mda ukifika kujarib bahati ya Doctor of Medicine...NSAADA WENU JAMAN:A S thumbs_up:
Naomba kupata msaada wenu kuhusu vyuo vya serikali vinavyotoa diproma ya afya(Crinical Officer) hapa Tanzania.Kuhusu ufahulu wangu nilimaliza form six mwaka jana nina div (ii) ya 12 nilichaguliwa UDSM kusoma Education ila sikuweza kwenda kwani niliona hiyo fan hainifahi nikaamua nitulie mtaani nisubilie niweze kupata ile kitu roho inapenda.....kuhusu kuapply mwaka nina mpango mda ukifika kujarib bahati ya Doctor of Medicine...NSAADA WENU JAMAN:A S thumbs_up: