Msaada wa kupata connection ya kazi nje

Msaada wa kupata connection ya kazi nje

Jicholamwewe

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2021
Posts
375
Reaction score
465
Wakuu poleni na majukumu ya hapa na pale.wakuu yeyote ambaye ana mwangaza wowote au connection za kwenda nje hata kuzamia kutafuta life naomba anisaidie sababu na ndoto ya kutafuta life katika nchi za Europe, USA,Canada. Kama utaguswa kunisaidia nitashukuru sana.Nina miaka 24 nimesomea maabara ya viwanda nimeishia certificate.Nina passport. Asanteni sana
 
USA Kuna mtaa unaitwa Zombies....dawa kulevya sana....sijaenda naona you tube
 
Wasiliana na Ubalozi wa Ukraine

Wanatafuta watu wa kupigana vita.
 
Wakuu poleni na majukumu ya hapa na pale.wakuu yeyote ambaye ana mwangaza wowote au connection za kwenda nje hata kuzamia kutafuta life naomba anisaidie sababu na ndoto ya kutafuta life katika nchi za Europe, USA,Canada. Kama utaguswa kunisaidia nitashukuru sana.Nina miaka 24 nimesomea maabara ya viwanda nimeishia certificate.Nina passport. Asanteni sana

mpaka ufike huko ndio ubadilishe gia.ila kama kuna kampuni binafsi na uwezo wako mkubwa unaweza kupitia njia hiyo.bila ivyo ni ngumu sana
 
Mimi nilizamia USA mwaka 2003, Nikapambana sana pale New York ila tatizo asubuhi ikawa inafika na nikastuka usingizini.
 
Back
Top Bottom