Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duh nikajua ni kwangu tu mkuu, kumbe ni kwa wote maana mpaka nikahisi labda ni mtandao ni shidaHakuna ujanja mwingine wowote mkuu ni mpaka wao wenyewe warekebishe system yao ndo control number zitakubali mimi mwenyewe tangu wafungue nahangaika na control number hadi leo sijafanikiwa
Cha ajabu wamekaa kimya sijui kwanini hawarekebishi
shukraniNgoja waje kukupa muongozo...
duh nikajua ni kwangu tu mkuu, kumbe ni kwa wote maana mpaka nikahisi labda ni mtandao ni shida
Shida ya wote hiyo bossduh nikajua ni kwangu tu mkuu, kumbe ni kwa wote maana mpaka nikahisi labda ni mtandao ni shida
sure usemacho?System imeanza kufunguka wakuu nimetengeneza control number mbili Hadi sasa
Currently no connection to GePG please try again later.....System imeanza kufunguka wakuu nimetengeneza control number mbili Hadi sasa
Currently no connection to GePG please try again later.....
ata kwangu inakuja ivyo ivyo
nilifanikiwa kupata control number jana usiku nikalipa via vodacom, cha ajabu voda wamerudisha meseji kuwa malipo yamepokelewa lakini kwenye mfumo wao HAKUNA DETECTION YOYOTE. NAENDELEA KUSUBIRI.Hakuna ujanja mwingine wowote mkuu ni mpaka wao wenyewe warekebishe system yao ndo control number zitakubali mimi mwenyewe tangu wafungue nahangaika na control number hadi leo sijafanikiwa
Cha ajabu wamekaa kimya sijui kwanini hawarekebishi
pole sana mkuu, ila mimi tangu wamefungua system yao sijafanikiwa kabisa kupata izo control number kabisanilifanikiwa kupata control number jana usiku nikalipa via vodacom, cha ajabu voda wamerudisha meseji kuwa malipo yamepokelewa lakini kwenye mfumo wao HAKUNA DETECTION YOYOTE. NAENDELEA KUSUBIRI.
sijajua bodi walishindwa kuweka sawa mambo mpaka inafikia kipindi iki ndio wanaanza kuangaika na mfumo.
ulipata saa 10 usiku au mchana???????Hata mimi nimepata control number jana saa 10 nikalipia muda huo huo hadi sasa hivi iko hapa kila niki Re-load inaload tuuu muda woteView attachment 1850535
Saa 10 jioni janaulipata saa 10 usiku au mchana???????