Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
Wakuu, kwanza nianze kusema mie ni Mkristu Mkatoliki wa Roma na jana ilikuwa Ijumaa Kuu.
Samahani kwa utangulizi huu kwani jana palikuwa na mechi ya ligi yetu saa kumi jioni wakati Wakristu Wakatoliki wakiwa katika ibada.
Najaribu kutafuta matokeo mpaka sasa sijayapata hata humu vilevile. Nimesikitishwa na bodi ya ligi kupanga mechi wakati huo.
Samahani kwa utangulizi huu kwani jana palikuwa na mechi ya ligi yetu saa kumi jioni wakati Wakristu Wakatoliki wakiwa katika ibada.
Najaribu kutafuta matokeo mpaka sasa sijayapata hata humu vilevile. Nimesikitishwa na bodi ya ligi kupanga mechi wakati huo.