Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 1,013
- 1,183
Kwasasa nahitaji kwenye sekta ya viwanda hususani utengenezaji wa bidhaa (manufacturing industry).Nadhani ungetanabaisha ni muwekezaji wa aina gani unataka yani sector ipi ili iwe rahisi kwa hao uliowashukuru in advance.
Its very hard kupata mwekezaji na its very easy kupata mwekezaji
iko hivi unategemea unataka kupata mwekezaji wa biashara ipi na sekta ipi...
Watanzania wengi kinachotushinda ni jinsi ya kuji present na jinsi ya ku present idea zetu wawekezaji wapo humu humu jamii forums kuna watu wana 700 millions humu kwenye accounts unakutana nao tu kariakoo
hawajui wapeleke wapi fedha zao wakikutana na wajanja wakawadanganya ndio wanawekeza kwenye biashara ambazo sio promising na wewe mwenye biashara ambayo nu promising inakufa
nikushauri kitu
Andika aina ya biashara yako
ikiwezekana weka na business plan humu kabisa watu waisome itawavutia hiyo kingine ongezea na check list kama Brela, acount ya biashara, board of directors, memorandum yaani vitu vyote ambavyo unaambatanisha ukienda bank kuomba mkopo wewe weka hapa yaani fungua uzi mwingine wa kuweka idea hiyo
kingine weka website na ofisi uonekane kidogo uko serious
Kwa kifupi anzisha biashara utafute mwekezaji wanapatikana nimeshuhudia
fedha ya investor inakuwa ni working capital
sasa wewe uko nyumbani unaangalia shilawadu hnasema tu unataka muwekezaji
endelea kumsubiri
Its very hard kupata mwekezaji na its very easy kupata mwekezaji
iko hivi unategemea unataka kupata mwekezaji wa biashara ipi na sekta ipi...
Watanzania wengi kinachotushinda ni jinsi ya kuji present na jinsi ya ku present idea zetu wawekezaji wapo humu humu jamii forums kuna watu wana 700 millions humu kwenye accounts unakutana nao tu kariakoo
hawajui wapeleke wapi fedha zao wakikutana na wajanja wakawadanganya ndio wanawekeza kwenye biashara ambazo sio promising na wewe mwenye biashara ambayo nu promising inakufa
nikushauri kitu
Andika aina ya biashara yako
ikiwezekana weka na business plan humu kabisa watu waisome itawavutia hiyo kingine ongezea na check list kama Brela, acount ya biashara, board of directors, memorandum yaani vitu vyote ambavyo unaambatanisha ukienda bank kuomba mkopo wewe weka hapa yaani fungua uzi mwingine wa kuweka idea hiyo
kingine weka website na ofisi uonekane kidogo uko serious
Kwa kifupi anzisha biashara utafute mwekezaji wanapatikana nimeshuhudia
fedha ya investor inakuwa ni working capital
sasa wewe uko nyumbani unaangalia shilawadu hnasema tu unataka muwekezaji
endelea kumsubiri