Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 1,013
- 1,183
Habari za muda huu.
Napenda kuomba kusaidiwa kwa yule mwenye ufahamu au kujua ni wapi naweza kupata muwekezaji mtu binafsi au kampuni.
Kwa yule ambaye anaweza kunisaidia nitashukuru sana.
Nitaomba anitumie aidha anwani ya barau pepe au tovuti PM ya wanaohusika na uwekezaji.
Shukrani sana
Mungu awabariki
Napenda kuomba kusaidiwa kwa yule mwenye ufahamu au kujua ni wapi naweza kupata muwekezaji mtu binafsi au kampuni.
Kwa yule ambaye anaweza kunisaidia nitashukuru sana.
Nitaomba anitumie aidha anwani ya barau pepe au tovuti PM ya wanaohusika na uwekezaji.
Shukrani sana
Mungu awabariki