Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo MombasaMkuu hujaweka mawasiliano. Na upo zanzibar sehemu gani?
Tricky question! Akijibu vizuri hili swali inaweza kua rahisi kwake kupata mchongo.Kitu gani unaweza kufanya?
Aisee sikukatishi tamaa kuna kozi zengine naona zinaitaji kufutwa sababu hakuna ajira ya kukupa na ikiwepo ni bahatiHabari,
Mimi ni kijana Nina miaka 24, Nina degree ya Sanaa ya geografia na mazingira, nipo zanzibar.
Mwenye connection ya ajira ya kada hio tafadhali.
ushauri wangu wewe bado mdogo sana miaka 24 nenda kajazie nyama koz za safety...kwenye site au projecty unaezakupata kaz afu coz zenyewe kama sijakosea ni za week mbil au tatu tuHabari,
Mimi ni kijana Nina miaka 24, Nina degree ya Sanaa ya geografia na mazingira, nipo zanzibar.
Mwenye connection ya ajira ya kada hio tafadhali.
Wewe ni ke au meUmeona ee! Ata Mimi nakubaliana na ww, hii course ni ngumu sana kupata ajira haswa haswa ukitumia mfumo wa kuombea kazi
ni vile mnaishi nchi za ukimani bara la giza. ungekua huku dunia niliyopo kazi chap.Habari,
Mimi ni kijana Nina miaka 24, Nina degree ya Sanaa ya geografia na mazingira, nipo Zanzibar.
Mwenye connection ya ajira ya kada hio tafadhali.